-
Utafiti: Wamarekani waliowengi wanataka vita dhidi ya Iran visitishwe haraka
Jun 05, 2026 10:56Takribani Wamarekani saba kati ya kumi wanautaka utawala wa nchi hiyo ukomeshe vita vyake visivyo halali dhidi ya Iran “haraka iwezekanavyo.” Hayo ni kwa mujibu wa utafiti mpya uliofichua kiwango kikubwa cha kutoridhika kwa umma kuhusu mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Trump ambayo yanaendelea kwa zaidi ya miezi mitatu.
-
Shambulio dhidi ya timu ya mazishi ya Ebola huku maambukizi yakiongezeka DRC
Jun 05, 2026 10:53Wakazi walishambulia timu ya mazishi ya Ebola mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) katika jimbo la Kivu Kusini wiki hii, na kuwalazimisha wahudumu kuacha jeneza na kuzua hofu ya kuenea zaidi maambukizi ya virusi hivyo, wizara ya afya imesema.
-
Araqchi: Iran haitaki vita, lakini iko tayari kuendelea kujilinda ikilazimu
Jun 05, 2026 03:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amesema Iran haitaki vita, lakini iko tayari kuendelea kujilinda inapobidi.
-
Tehran yaikosoa jamii ya kimataifa kwa kutochukua hatua za kukabiliana na ukatili dhidi ya watoto
Jun 05, 2026 03:03Shirika kuu la haki za binadamu la Iran limelaani mwenendo wa jamii ya kiimataifa wa kutochukua hatua za kushughulikia uhalifu wa ukatili unaofanywa dhidi ya watoto, likitaka kutiliwa maanani kimataifa watoto wengi wasio na hatia waliouawa na Marekani na utawala wa Israel katika uchokozi wa karibuni dhidi ya Iran.
-
Kituo cha nyuklia cha Bushehr nchini Iran chafikia rekodi ya kilowati-saa bilioni 80 za uzalishaji wa umeme
Jun 05, 2026 03:00Kituo cha Nguvu za Nyuklia cha Bushehr nchini Iran kimezalisha jumla ya kilowati-saa bilioni 80 za umeme, hatua inayochukuliwa kuwa mafanikio muhimu katika mpango wa nishati ya nyuklia kwa matumizi ya kiraia nchini.
-
Ramaphosa: Waafrika Kusini si wachukia wageni
Jun 05, 2026 02:57Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amemweleza mwenzake wa Kenya, Rais William Ruto, kwamba maandamano ya hivi karibuni dhidi ya uhamiaji haramu nchini humo hayamaanishi kuwa Waafrika Kusini wana chuki dhidi ya wageni.
-
Waasi wa ADF wanaofungamana na ISIS waua watu 21 DRC
Jun 05, 2026 02:53Idadi ya vifo kufuatia shambulio lililofanywa na waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF), kundi la waasi lenye misimamo mikali lililoanzia Uganda, imefikia 21 katika mji wa Mbau, ulioko mkoa wa Kivu Kaskazini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo).
-
Matembezi ya kilomita 10 katika Siku Kuu ya Ghadir jijini Tehran
Jun 04, 2026 15:33Leo joto kali la mwezi Juni katika barabara za Tehran halikuweza kupunguza hamasa na shauku ya wananchi waliojitokeza kushiriki katika “Ugeni wa Ghadir wa Kilomita 10”.
-
Ayatullah Khamenei: Adui aliyefedheheshwa anahamia kwenye vita mseto baada ya kushindwa kijeshi
Jun 04, 2026 12:52Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema mahasimu wa Iran wamegeukia mbinu za "vita vya mseto" baada ya kushindwa vibaya mbele ya vikosi vya ulinzi vya nchi hii na kusisitiza kuhusu umoja na umakini wa kitaifa ili kusambaratisha njama za maadui
-
Wairani wamuenzi Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu Imam Khomeini katika kumbukumbu ya miaka 37 tangu kuaga dunia
Jun 04, 2026 12:49Wananchi wa Iran wa matabaka mbalimbali wameshiriki katika marasimu mbalimbali ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka wa 37 tangu kufariki dunia Imam Ruhullah Musavi Khomeini (M.A) Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.