-
Wall Street: Kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kunaonyesha kushindwa juhudi za Trump za kuipigisha magoti Iran
Mar 09, 2026 07:16Vyombo vya habari duniani vimeakisi kwa mapana na marefu kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kama kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.
-
Russia yawasilisha rasimu ya azimio Baraza la Usalama, yataka kukomeshwa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Mar 09, 2026 06:32Russia imewasilisha rasimu ya azimio katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ikitaka kukomeshwa vita katika eneo la Asia Magharibi.
-
Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei achaguliwa kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Mar 09, 2026 02:02Baraza la Wanazuoni Wataalamu nchini Iran limemchagua Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi Muadhamu mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Washington Post: Trump anakabiliwa na "upande mweusi" wa vita na Iran; majeneza yameanza kuwasili
Mar 08, 2026 12:54Gazeti la Washington Post limeitaja shughuli ya kupokea miili ya wanajeshi sita wa Marekani waliouawa katika operesheni kali ya Iran kuwa ni ishara kwamba vita vinamwendea vibaya rais wa nchi hiyo.
-
Meja Jenerali Abdullahi: Uwezo wa makombora wa Iran ni zaidi ya mawazo ya adui
Mar 08, 2026 12:53Meja Jenerali Ali Abdullahi, amesema majeshi ya ulinzi ya Iran yamejitayarisha kikamilifu kuendeleza mapambano dhidi ya adui na kwamba adui atapata jibu la makosa yake uwanjani na kwenye medani ya vita.
-
Vyombo vya habari vya Algeria: Kesi ya Epstein ndiyo chanzo cha moja kwa moja cha vita vya Trump dhidi ya Iran
Mar 08, 2026 11:34Gazeti la Algeria "Al-Shorouk" limeandika kuwa kashfa iliyotokana na kesi ya bilionea mashuhuri na mhaifu wa ngono wa Marekani, Jeffrey Epstein, na kuhusika Rais Donald Trump katika kashfa hiyo ndiyo sababu ya moja kwa moja ya kuanzisha vita dhidi ya Iran ili kupotosha maoni ya umma nchini Marekani na duniani.
-
Watunisia waunga mkono Iran na kulaani vita vya Marekani
Mar 08, 2026 11:30Watunisia wamefanya maandamano ya kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kukosoa kauli ya Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo ambayo haikulaani mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya taifa la Iran.
-
Maandamano ya kuunga mkono Iran yamefanyika nchini Afrika Kusini
Mar 08, 2026 10:18Wananchi wa Afrika Kusini walifanya maandamano na mikusanyiko mikubwa wakionyesha uungaji mkono wao kwa Iran kufuatia uvamizi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Siku ya tisa ya vita; Iran yaendeleza mawimbi ya makombora na ndege zisizo na rubani
Mar 08, 2026 09:53Katika siku ya tisa ya uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) alfajiri ya leo limetangaza kutekelezwa kwa mawimbi mapya ya Operesheni ya kulipiza kisasi ya ‘Ahadi ya Kweli 4’
-
Majasusi wa US: Haiyumkiniki kubadilisha mfumo wa uongozi Iran
Mar 08, 2026 07:43Baraza la Ujasusi la Marekani limesema katika tathmini yake 'ya siri' kwamba, ni muhali kubadilisha mfumo uliokita mizizi wa kisiasa na kiusalama nchini Iran, hata kwa kutumia mashambulizi makali ya kijeshi yanayoendelea ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.