-
Chatham House: Vita na Iran ni kamari ya kisiasa, Uhispania: Kushambulia Iran ni kosa kubwa
Mar 07, 2026 18:28Kituo cha kifikra cha Uingereza cha Chatham House kimekiri kwamba Rais wa Marekani, Donald Trump, amecheza "kamari kubwa ya kisiasa" kwa kuanzisha vita dhidi ya Iran.
-
Rais wa Afrika ya Kati afichua sura mpya ya ukoloni
Mar 07, 2026 17:55Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amesema katika: "Diplomasia ya adhabu na vikwazo ni barakoa mpya ya ukoloni."
-
Msemaji wa IRGC: Tunavisubiri kwa hamu kubwa vikosi vya US kwenye Lango-Bahari la Hormuz
Mar 07, 2026 17:48Msemaji wa Kamandi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC ya Khaatamul-Anbiyaa amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inakaribisha na kusubiri kwa hamu kubwa kuthibiti kwa madai ya vikosi vya jeshi la Marekani vya kusindikiza meli za mafuta na kujikita kwenye Lango-Bahari la Hormuz.
-
Iran: UN inabeba dhima ya kisheria na kimaadili ya vita haramu vya US, Israel
Mar 07, 2026 13:59Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei amejibu taarifa ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, ambaye bila kulaani uvamizi na mashambulizi ya kichokozi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ameeleza wasiwasi wake juu ya vita hivyo kwa uchumi wa dunia.
-
China yaionya Israel: Kuendelea vita dhidi ya Iran kutachochea zaidi mgogoro wa Asia Magharibi
Mar 07, 2026 13:06China imeonya kwamba kuendelea kwa vita dhidi ya Iran kunaweza kuzidisha zaidi mgogoro unaoendelea katika eneo la Asia Magharibi.
-
Maulamaa wa Kishia na Kisunni, wa ndani na nje ya Iran watoa fatua ya Jihadi dhidi ya Marekani na utawala wa kizayuni
Mar 07, 2026 12:07Maraajii Taqlidi wa madhehebu ya Shia, ndani na nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, pamoja na Maulamaa wakubwa wa Kisunni wa hapa nchini na katika mataifa mengine ya Ulimwengu wa Kiislamu wametoa fatua ya Jihadi dhidi ya Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel kufuatia uchokozi wa kidhalimu walioanzisha dhidi ya ardhi ya Iran.
-
Njama ya 'genge la Netanyahu' ya kushambulia Masjidul Aqsa kwa makombora yatibuka
Mar 07, 2026 09:29Wizara ya Intelijensia ya Iran imefichua njama chafu iliyokuwa ikipikwa na genge la Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu ya kushambulia kwa makombora Msikiti wa al-Aqsa ili kuibua fitna katika ulimwengu wa Kiislamu.
-
Mazungumzo ya simu kati ya Vladimir Putin na Masoud Pezeshkian
Mar 07, 2026 07:37Rais wa Russia, Vladimir Putin, amefanya mazungumzo ya simu na Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian kuhusu matukio ya hivi karibuni katika eneo, ambapo Rais wa Iran amesisitiza kuwa: “ Njia yetu ni kujihami kwa nguvu ili kulinda mipaka yetu na kuleta amani endelevu.
-
Siku ya 7 ya Vita; Vikosi vya Iran Vyalenga Kitovu cha Tel Aviv
Mar 06, 2026 15:59Katika siku ya saba ya vita vya kukabiliana na uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza wimbi la ishirini na moja la Operesheni “Ahadi ya Kweli 4”, likihusisha mashambulizi ya pamoja ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni), pamoja na kurushwa kwa makombora ya Kheibar yenye vichwa vingi vya kivita dhidi ya malengo yaliyoko katikati ya Tel Aviv.
-
Planet Labs inachuja picha za satalaiti za hasara za kambi za Marekani zinazotwangwa na Iran
Mar 06, 2026 15:06Kampuni ya huduma za satalaiti ya Marekani imetangaza kuwa, inachelewesha kutoa picha zake kwa siku nne ili kuzuia tathmini na uchambuzi wa hasara zilizosababishwa kwenye kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.