-
Ripoti ya polisi Kenya yafichua ukatili wa wanajeshi wa Uingereza Laikipia
Aug 01, 2026 11:45Ripoti ya siri ya polisi ya Kenya imefichua madai mazito ya ubakaji, ulawiti wa watoto na ukiukaji wa haki za kibinadamu unaodaiwa kufanywa na wanajeshi wa kikosi cha Uingereza wanaopata mafunzo Kenya (BATUK) katika Kaunti ya Laikipia.
-
Kamanda Mkuu wa Iran: Nchi za kanda hii zinazotumika kama ngao ya Marekani 'zitateketea katika moto wa vita'
Aug 01, 2026 11:32Mkuu wa Kamandi Kuu ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) amezionya nchi za kanda hii kuhusu kushirikiana na Marekani akisema: Nchi yoyote itakayotumika kama "ngao ya ulinzi" kwa Washington itaungua katika moto wa vita.
-
Umoja wa Mataifa waonya kuhusu utumiaji wa mada zilizopigwa marufuku dhidi ya raia wa Iran
Aug 01, 2026 11:26Maripota wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wametoa taarifa ya pamoja, wakisema kuwa raia 3,375 wa Iran wameuawa katika mashambulizi ya kikatili ya Marekani na Israel (wakiwemo wanawake wapatao 500), na kutoa wito wa kuwajibishwa Marekani na Israel kwa uhalifu wao wa kivita, hasa kuhusu janga la shule ya msingi ya Minab.
-
Utafiti: Mlipuko wa Ebola Kongo ulianza miezi kadhaa kabla ya kugunduliwa
Aug 01, 2026 11:24Utafiti: Mlipuko wa Ebola Kongo ulianza miezi kadhaa kabla ya kugunduliwa
-
Meya wa Moscow: Zaidi ya droni 6,000 za Ukraine zililenga mji mkuu wa Russia mwezi Julai
Aug 01, 2026 11:18Zaidi ya ndege zisizo na rubani (droni) 6,000 za Ukraine ziliulenga mji mkuu wa Russia, Moscow mwezi Julai mwaka huu. Haya yameelezwa na, Meya wa Moscow, Sergey Sobyanin.
-
Meja Jenerali Abdullahi: Sasa, majeneza ni sehemu ya vifaa vya wanajeshi wa Marekani, Asia Magharibi
Aug 01, 2026 06:35Mkuu wa Kamandi Kuu ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) ameandika ujumbe katika mitandao ya kiijamii akisema: Majeneza ya Wamarekani sasa ni sehemu ya vifaa vyao katika eneo la Asia Magharibi.
-
IRGC yazilenga na kuzisimamisha meli mbili za mafuta katika Lango la Hormuz
Aug 01, 2026 06:34Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) jana lilitangaza kuwa zimezishambulia meli mbili za mafuta katika Lango Bahari la Hormuz na kuzisimamisha baada ya kukiuka sheria na tahadhari ilizopewa.
-
Jeshi la Yemen lalazimisha meli 8 za mafuta za Saudia kubadili njia
Aug 01, 2026 06:33Msemaji wa Vikosi vya Wanajeshi vya Yemen ametangaza katika taarifa kwamba, katika juhudi za kuimarisha mlingano wa “kuzingirwa kwa kuzingirwa”, na kufuatia kuongezeka kwa vikwazo vya baharini dhidi ya meli za mafuta za Saudi Arabia, meli nane za mafuta za Saudi Arabia zimelazimika kubadili njia na kuelekea Rasi ya Tumaini Jema (Cape of Good Hope).
-
Rais wa Liberia awafukuta kazi maafisa kadhaa baada ya kukamatwa shehena kubwa za dawa za kulevya
Aug 01, 2026 06:31Rais Joseph Boakai wa Liberia amewafukuza kazi maafisa kadhaa wa serikali na huku akipendekeza kuchunguzwa baadhi ya maafisa kufuatia visa vingi vya dawa za kulevya katika miezi ya hivi karibuni ambavyo vimeibua malalamiko ya wananchi wakitaka hatua kali zichukuliwe.
-
Mvua kubwa yazingira maelfu ya watu katika kambi ya Al Karama 3 nchini Sudan, uhaba wa huduma waathiri familia
Aug 01, 2026 06:30Mvua kubwa za msimu zimezidisha hali mbaya kwa wakimbizi wa Sudan katika kambi ya Al Karama 3 huko Damazin, mji mkuu wa Jimbo la Blue Nile, ambayo imejaa watu zaidi ya 31,000 waliokimbia makazi yao kutokana na vita vya ndani.