-
Iran yapinga 'matakwa ya kupita kiasi' katika mazungumzo au kusitisha mapigano
Jun 04, 2026 03:08Mshauri wa Masuala ya Kijeshi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema kuwa Tehran haitairuhusu Marekani kuwasilisha matakwa ya kupita kiasi, iwe ni katika mazungumzo au wakati wa mchakato wa kusitisha mapigano.
-
Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 50, yumo kamanda mkuu wa kundi la ISWAP
Jun 04, 2026 03:05Wanajeshi wa Nigeria wanaoendesha oparesheni kwa jina "Hadin Kai" wamewaangamiza magaidi wasiopungua 50, akiwemo kamanda mkuu wa tawi la ISWAP lililoungana na kundi la Boko Haram.
-
Vikosi vya jeshi la Iran: Adui amelazimishwa kukubali sheria mpya za Iran
Jun 03, 2026 13:28Vikosi vya jeshi la Iran vimetangaza kuwa adui amelazimika kukubali sheria mpya zilizowekwa na Tehran kwenye uwanja wa vita, hasa kuhusu usimamizi na udhibiti makini wa Mlango-Bahari wa Hormuz, huku nchi hii ikiwa katika kumbukumbu ya kifo cha Imam Ruhullah Khomeini na mapambano ya 1963 dhidi ya utawala wa Shah.
-
Wanajeshi wa Israel wakiona cha mtemakuni Lebanon; ripoti ya Marekani: Hizbullah sasa ina uwezo zaidi kuliko awali
Jun 03, 2026 13:25Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imesema imetoa kipigo kikubwa kwa wanajeshi wa Israel katika mji wa al-Bayyada, kusini mwa Lebanon, huku jeshi la Israel likiendelea kushindwa na wanajeshi wake wakikabiliwa na mbinu za kisasa zaidi.
-
Tunisia: Ghannouchi na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela
Jun 03, 2026 13:16Mahakama ya Tunisia imemhukumu kifungo cha maisha jela kiongozi wa Harakati ya Ennahdha na Spika wa zamani wa Bunge, Rached Ghannouchi (miaka 84), pamoja na kuwahukumu wenzake katika kesi inayojulikana kwa jina la "Ennahdha Movement's Secret Apparatus".
-
Watetezi haki za binadamu: NBA ikomeshe ushirikiano na UAE katika mauaji ya halaiki Sudan
Jun 03, 2026 13:10Watetezi wa haki za binadamu wamekitaka Chama cha Kitaifa cha Mpira wa Kikapu cha Marekani (NBA) kukomesha ushirikiano wake na Umoja wa Falme za Kiarabuu (UAE), wakisema uhusiano wa ligi hiyo na Abu Dhabi unaikingia kifua nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi kutokana na kulaaniwa vikali kwa kuhusika kwake katika vita ndani nchini Sudan.
-
Bunge la Zimbabwe lajadili rasimu ya muswada wa kuongeza muda wa urais
Jun 03, 2026 12:35Bunge la Zimbabwe linazingatia muswada tata wa marekebisho ya Katiba ambao utaongeza muhula wa Rais Emmerson Mnangagwa kwa miaka miwili hadi 2030.
-
Je, Israel inafuatilia malengo gani katika kuzidisha vita nchini Lebanon?
Jun 03, 2026 12:13Utawala wa Kizayuni unaendelea kushambulia Lebanon ambapo katika siku za hivi karibuni ulikuwa umetishia kuushambulia mtaa wa Dhahiyah kusini mwa Beirut na kutaka watu wahame kutoka eneo hilo. Swali muhimu ni je, kwa nini utawala wa Kizayuni unataka kushadidisha mgogoro na vita nchini Lebanon?
-
Hormuz, vita na ukweli ambao Washington haikuwa na budi ila kuukubali
Jun 03, 2026 07:08Katika hali ambayo sera ya "mashinikizo ya juu zaidi" na chaguo la kijeshi la Trump vilipaswa kuilazimisha Iran ilegeze msimamo na kurudi nyuma, lakini matukio ya karibuni yameonyesha kuwa Washington inatafuta njia ya kujiondoa kwa heshima katika mgogoro ambao imejianzishia yenyewe.
-
IRGC: Tumejiandaa vya kutosha kwa uchokozi wa aina zote wa adui
Jun 03, 2026 04:12Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa vikosi vyake vimejiandaa vyema kuliko hapo awali na viko tayari kikamilifu kwa dharura yoyote ya siku zijazo, likisisitiza kwamba kurudi kwa adui kwenye uvamizi wa kijeshi kutakabiliwa na mbinu tofauti za kiutendaji.