-
Operesheni Ahadi ya Kweli 4, Wimbi la 33: Makombora yote ya Iran ya “Kheibar Shekan” yapiga malengo yao
Mar 10, 2026 06:19Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuanza kwa wimbi la thelathini na tatu la Operesheni Ahadi ya Kweli 4, ambapo makombora yote yenye mwongozo wa usahihi ya aina ya “Kheibar Shekan” yalifanikiwa kupiga malengo yaliyokusudiwa.
-
Msemaji wa IRGC: Majibu ya Iran yamemtia kiwewe Donald Trump
Mar 10, 2026 04:14Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amejibu upuuzi na uongo wa Rais Donald Trump wa Marekani akisema: "Rais muongo wa Marekani ametoa madai ya kumaliza nguvu ya vikosi vya jeshi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ili kujaribu kukwepa mashinikizo ya vita na kukomesha hali ya kukata tamaa wanajeshi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi."
-
Rais wa Iran: Kupunguza mvutano katika eneo kunahitaji kutounga mkono wavamizi
Mar 10, 2026 03:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba juhudi za wale walioanzisha uchokozi dhidi ya Iran zimekuwa zikilenga kupandikiza mifarakano kati ya mataifa jirani. Amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imeonyesha utayari wake wa kupunguza mvutano katika eneo hili, mradi tu anga, ardhi na maji ya mataifa jirani yasitumike kama njia ya kushambulia watu wa Iran.
-
Nini maana ya Marekani kushindwa kistratejia?
Mar 09, 2026 09:02Kwa nini Marekani inakaribia kushindwa kistratejia? Jibu la swali hili linapatika katika utambulisho wa vita vya sasa vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ayatullah Mojtaba Khamenei ni nani?
Mar 09, 2026 08:52Miongoni mwa maswali muhimu yanayoulizwa sana wakati huu kuhusu Iran ni kwamba, Ayatullah Mojtaba Husseini Khamenei ni nani? Na kwa nini Baraza la Wataalamu limemchagua kuongoza Iran? Ili kuelewa chaguo hili, lazima kwanza tuangalie utaratibu wa kisheria wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Uingereza: Hatutaingia katika vita dhidi ya Iran/ Ireland yalaani uvamizi wa Marekani na Wazayuni dhidi ya Iran
Mar 09, 2026 08:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa London haitajiunga katika vita vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran.
-
Makundi ya Muqawama yapongeza kuchaguliwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu
Mar 09, 2026 07:49Harakati za Muqawama zimetoa taarifa zikilipongeza taifa la Iran kwa mnasaba wa kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kama Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.
-
Araghchi: Trump amekiri kutenda jinai kwa kutishia kuwaua Wairani
Mar 09, 2026 07:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema vitisho vipya vilivyotolewa na Rais Donald Trump vya kuwashambulia na kuwaua wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ni kukiri wazi wazi kwa kiongozi huyo wa Marekani juu ya kufanya jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu.
-
Jeshi la IRGC latangaza utiifu kwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu
Mar 09, 2026 07:04Kufuatia kuchaguliwa kwa Ayatullah Seyed Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema liko tayari kikamilifu kutekeleza amri zake.
-
Wall Street: Kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kunaonyesha kushindwa juhudi za Trump za kuipigisha magoti Iran
Mar 09, 2026 03:46Vyombo vya habari duniani vimeakisi kwa mapana na marefu kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kama kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.