-
Wimbi jipya la vikwazo dhidi ya Iran; Trump awalenga washirika wa kibiashara wa Iran
Feb 07, 2026 22:53Trump amesaini dikrii kwa ajili ya kuwatoza ushuru washirika wa kibiashara wa Iran.
-
Abbas Araghchi atoa wito wa suluhisho la kiadilifu kwa kadhia ya Palestina
Feb 07, 2026 08:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa wito wa kuwepo suluhisho la kiadilifu na endelevu katika kutatua kadhia ya Palestina.
-
Hali yazidi kuwa mbaya Gaza: Uhaba wa dawa na vifaa vya matibabu washadidi
Feb 07, 2026 08:39Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza katika taarifa yake kwamba, hospitali zilizobaki zinazofanya kazi katika Ukanda huo, ambazo zinajitahidi kuendelea kutoa huduma za kimatibabu, zimekuwa vituo vya kusubiri maelfu ya wagonjwa na majeruhi ambao wanakabiliwa na hatima isiyojulikana.
-
Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lakaribisha mazungumzo ya Iran na Marekani
Feb 07, 2026 08:25Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi limetangaza kuwa, limekaribisha kwa mikono miwili mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani yaliyofanyika Muscat Oman.
-
Somalia: Uingiliaji kati wa Israel ni changamoto kwa bara zima la Afrika
Feb 07, 2026 08:12Rais wa Somalia amekosoa vikali uingiliaji kati wa utawala wa kizayuni Israel katika masuala ya ndani ya nchi hiyo na kueleza kwamba, hatua hiyo ya Wazayuni ni changamoto kwa bara zima la Afrika.
-
Je, Trump ni rais wa amani kama anavyodai mwenyewe?
Feb 07, 2026 08:11Donald Trump, ambaye anajiona kama rais wa amani, amekariri madai yake dhidi ya uwezo wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya kuhalalisha mashambulizi dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran, akidai kwamba bila hivyo, amani katika Asia Magharibi isingewezekana.
-
Maandamano makubwa yafanyika mjini Rabat, Morocco kuunga mkono Palestina
Feb 07, 2026 08:03Mamia ya raia wa Morocco wameandamana na kukusanyika mbele ya jengo la Bunge mjini Rabat, wakitangaza himaya na uungaji mkono wao kwa watu wa Palestina na kulaani mzingiro wa utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza.
-
Guardiola ajibu mapigo dhidi ya Baraza la Wayahudi, apinga tena mauaji ya watu wasio na hatia huko Gaza
Feb 07, 2026 03:54Meneja wa timu ya Manchester City, Pep Guardiola aliisisitiza jana Ijumaa kwamba atapaza sauti yake waziwazi wakati wowote "watu wasio na hatia wanapouawa" popote pale duniani, akijibu ukosoaji wa Baraza la Wawakilishi wa Jumuiya ya Wayahudi la Jiji la Manchester nchini Uingereza.
-
Al-Burhan: Hakutakuwa na amani na wale walioua, kupora na kuwafurusha watu wa Sudan
Feb 07, 2026 03:09Mkuu wa Baraza la Utawala nchini Sudan, Luteni Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, amesema kwamba hakutakuwa na amani na wale walioua, kupora na kuwafurusha makwao watu wa Sudan.
-
Kesi ya kupinga ushindi wa Museveni yatupiliwa mbali, sababu.. gharama kubwa
Feb 07, 2026 03:08Kesi iliyowasilishwa mahakamani kupinga ushindi wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda katika uchaguzi mkuu wa Januari 15 imetupiliwa mbali.