-
Waziri wa Usalama: Umoja wa kitaifa utazuia vitisho kwa umoja wa kitaifa wa Iran
Jan 28, 2026 04:28Waziri wa Usalama wa Iran amesema kuwa taifa la Iran halitaruhusu umoja wa kitaifa wa nchi hii udhoofishwe akisisitiza kuwa umoja wa taifa la Iran ndiyo nguzo kuu ya kukabiliana na vitisho vya nje.
-
Serikali ya Sudan Kusini: Hatuko vitani licha ya mapigano makali
Jan 28, 2026 04:17Serikali ya Sudan jana ilitangaza kuwa haiko vitani licha ya mapigano makali yanayoendelea dhidi ya waasi katika siku za karibuni.
-
Rwanda yaishtaki serikali ya Uingereza kwa kukiuka makubaliano ya wahamiaji
Jan 28, 2026 04:12Rwanda imeishtaki serikali ya Uingereza kuhusu makubaliano ya wahamiaji ambayo London imeyatelekeza yapata miaka miwili iliyopita.
-
Jinai mpya: Hamas yailaani Israel kwa kufukua mamia ya makaburi huko Gaza
Jan 28, 2026 04:08Harakati ya muqawama ya Palestina, Hamas, imelaani jinai mpya ya utawala mhalifu wa Israel, ikisema kuwa wanajeshi wa Israel wamefukua mamia ya makaburi katika eneo la mashariki la Ukanda wa Gaza unaozingirwa. Wanajeshi wa utawala wa Kizyauni wamefukua makaburi ya Wapalestina wakitafuta mwili wa mateka wa mwisho wa utawala huo.
-
MONUSCO yawarejesha nyumbani waasi 15 wa zamani wa Rwanda kutoka Kongo
Jan 28, 2026 04:00Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) kimeripoti kuwa kimewarejesha nyumbani Wanyarwanda 34, wakiwemo wapiganaji 15 wa zamani wa kundi la waasi la Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR).
-
Kenya katika kivuli cha ukoloni wa Uingereza; simulizi ya umwagaji damu na ukandamizaji dhidi ya Mau Mau
Jan 28, 2026 02:07Katika miaka ambayo Uingereza ilijiona kuwa taifa kubwa na lisilo na mpinzani duniani, ardhi moja katika Afrika Mashariki polepole ikageuka na kuwa eneo la mojawapo ya uzoefu mchungu zaidi wa kikoloni.
-
Rais Pezeshkian: Vita vya kisaikolojia vya Marekani vinalenga kuvuruga usalama Asia Magharibi
Jan 28, 2026 00:59Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ameonya kwamba harakati za kijeshi za Marekani katika Asia Magharibi ni sehemu ya juhudi zilizopangwa za kuyumbisha amani ya eneo hilo.
-
The Guardian: Hofu inayotanda Minneapolis inafanana na ya vita vya wenyewe kwa wenyewe
Jan 28, 2026 00:59Makala ya uchambuzi iliyochapishwa na gazeti la Uingereza la The Guardian imefafanua ilichokielezea kuwa ni eneo la kutisha huko Minneapolis, Minnesota, nchini Marekani na kusema kwamba ni wakati muhimu unaofichua sura ya ufashisti wa wazi chini ya utawala wa Rais Donald Trump.
-
Jeshi la Sudan lavunja mzingiro wa miaka 2 wa wanamgambo wa RSF dhidi ya mji muhimu huko Kordofan
Jan 28, 2026 00:58Jeshi la Sudan limeeleza kuwa limevunja mzingiro wa karibu miaka miwili wa wanamgambo wa RSF katika mji muhimu katika mkoa wa Kordofan, na kudhibiti njia kuu za usafirishaji.
-
Somalia yakamata msaada wa chakula uliorejeshwa kwa WFP baada ya kutoelewana na Marekani
Jan 28, 2026 00:57Serikali ya Somalia imesema kuwa msaada wa chakula uliotolewa kwenye ghala wakati wa shughuli za upanuzi wa bandari katika mji mkuu, Mogadishu, umerejeshwa kwa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), kufuatia ripoti kwamba maafisa wa eneo hilo wamekamata msaada wa chakula uliotolewa na nchi wafadhili.