-
Majibu makali ya Wayemen; mamluki 150 wa Kisaudi wauawa na kujeruhiwa + Video
Jan 10, 2019 12:29Msemaji wa vikosi vya ulinzi vya Yemen amesema kuwa, droni ya jeshi la nchi hiyo na vikosi vya kujitolea vya wananchi, imefanya shambulizi la kishujaa baada ya kufanyika operesheni kali ya kukusanya taarifa za kijasusi, na kufanikia kuua na kujeruhi mamluki 150 wa Kisaudi leo asubuhi.
-
SAUTI, Serikali ya Ufaransa yanyoshewa kidole cha lawama kwa kuchochea uvamizi na mauaji katika mji wa Bakuma, CAR
Jan 08, 2019 13:37Waasi wa MDRC, sehemu ya kundi la Seleka nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, wameendelea kupanua satwa yao kuelekea miji mingine, baada ya kuuvamia na kuudhibiti mji wa Bakuma wenye utajiri wa madini ya Urani na Alimasi mwanzoni mwa mwezi huu.
-
Mufti wa Tanzania ataka mahujaji wa nchi hiyo watumie Air Tanzania + Sauti
Jan 05, 2019 02:50Viongozi wanaosimamia misafara ya Hija nchini Tanzania wametakiwa kutumia ndege za Shirika la Ndege la Air Tanzania katika msimu wa Hija kama njia ya kuunga mkono jitihada za rais wa nchi hiyo za kuliletea maendeleo Taifa. Ammari Dachi na ripoti kamili kutoka Dar es Salaam.
-
Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki wiki hii na Harith Subeit + Sauti
Jan 05, 2019 02:47Wiki hii kama ilivyojiri kwa wiki zilizopita, kumekuwa na matukio mengi yanayohusiana na Waislamu wa Afrika Mashariki. Harith Subeit amekusanya baadhi ya matukio hayo na kutuandalia ripoti ifuatayo...
-
Viongozi wa kidini wataka kuheshimiwa matokeo ya kura DRC + Sauti
Jan 05, 2019 02:44Viongozi wa kidini wakiwemo wa Kanisa Katoliki huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya nchi hiyo kuheshimu matokeo ya kura na kumtangaza mshindi haraka iwezekanavyo. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...
-
Zoezi la kuhesabu kura laendelea DRC, wapinzani walalamika + Sauti
Jan 03, 2019 04:27Huku zoezi la kuhesabu kura likiendelea katika maeneo mbalimbali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, vyama vya upinzani vimekosoa mchakato huo baada ya kuripotiwa habari za kutupwa karatasi za kupigia kura za mgombea wa upinzani katika baadhi ya maeneo. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...
-
Kumbukumbu ya kuuawa shahidi Sheikh Nimr Baqir Al Nimr + Filamu
Jan 02, 2019 04:21Leo Jumatano Januari Pili 2019 ni kumbukumbu ya mwaka wa tatu tokea alipouawa shahidi Sheikh Nimr Baqri al Nimr, mwanazuoni wa Kiislamu na mwanamapambano wa kutetea haki wa Saudi Arabia
-
Iran: Ulaya haina nia ya kweli ya kukabiliana na mashinikizo ya Marekani + Video
Dec 31, 2018 11:43Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Ulaya imeonesha kivitendo kuwa haina nia ya kweli ya kukabiliana na mashinikizo ya Marekani.
-
Zoezi la kuhesabu kura katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo linaendelea + Sauti
Dec 31, 2018 09:59Zoezi la kuhesabu kura linaendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kufuatia Uchaguzi Mkuu uliofanyika jana Jumapili katika nchi hiyo huku wagombea wakuu wa upinzani Felix Tshisekedi na Martin Fayulu wakilalamikia dosari nyingi wanazodai kwamba zilitokea wakati wa kufanyika uchaguzi huo.
-
Kamati ya amani Tanzania inayojumuisha Waislamu na Wakristo yaadhimisha mazazi ya Nabii Isa AS + Sauti
Dec 29, 2018 14:57Kamati ya amani nchini Tanzania ambayo inajumuisha viongozi wa Kiislamu na Kikristo wa madhehebu mbalimbali, imefanya sherehe maalumu za kuadhimisha mazazi ya Nabii Isa AS na mwaka mpya wa Milaadia. Maelezo zaidi yamo kwenye ripoti ya mwandishi wetu Ammar Dachi...