-
Wapinzani kongo DR waendelea kuilalamikia tume ya uchaguzi CENI + Sauti
Dec 27, 2018 23:19Vyama vya upinzani vya Jamhuri ya Kidemokrsia ya Kongo vimeendelea kukosoa hatua ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya nchi hiyo CENI ya kuakhirisha uchaguzi katika miji mitatu nchini humo. Uchaguzi Mkuu wa Rais na Bunge unatarajiwa kufanyika Jumapili hii DRC, lakini hautofanyika katika miji ya Yumbi, Beni na Butembo hadi tarehe 30 Machi mwakani. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...
-
Jamii ya kimataifa yahofishwa na uwezekano wa kutokea machafuko wakati wa uchaguzi DRC + Sauti
Dec 24, 2018 23:59Taasisi muhimu za ndani na nje ya Afrika zimeelezea wasiwasi wao kuhusu uwezekano wa kutokea machafuko kabla, wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na zinafikiria njia za kukabiliana na hatari hiyo. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...
-
Tanzania yawataka wanahabari kutekeleza vyema majukumu yao + Sauti, Video
Dec 24, 2018 03:31Dk Hassan Abbas, msemaji mkuu wa serikali ya Tanzania amewataka waandishi wa habari nchini humo kutambua haki na kutimiza vyema wajibu wao.
-
Makumi wapoteza maisha katika janga la tsunami nchini Indonesia + Video
Dec 23, 2018 03:50Makumi ya watu wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa kutokana na tsunami iliyosababishwa na mripuko wa volcano nchini Indonesia.
-
Mazoezi ya Kijeshi ya "Mtume Mtukufu SAW-12" yafanyika kusini mwa Iran + Video
Dec 22, 2018 12:04Mazoezi makubwa ya kijeshi yaliyopewa jina la "Mtume Mtukufu SAW-12" yamefanyika kwa mafanikio katika kisiwa cha Qeshm kusini mwa Iran katika Ghuba ya Uajemi.
-
Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki na Harith Subeit + Sauti
Dec 21, 2018 23:19Matukio ya Kiislamu wiki hii yamejumuisha masuala mbalimbali ikiwemo kesi ya Masheikh wa Zanzibar wanaoshikiliwa katika korokoro za Tanzania Bara kwa miaka mingi sasa. Harith Subeit na maelezo zaidi...
-
Vyama 6 vya siasa Tanzania vyajadili demokrasia katika mkutano wa Zanzibar+SAUTI
Dec 18, 2018 14:58Viongozi na wanachama waandamizi wa Vyama sita vya siasa katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamekutana visiwani Zanzibar hii leo na kujadili juu ya dira ya taifa.
-
Bakwata yaadhimisha miaka 50 ya kuasisiwa kwake+SAUTI
Dec 18, 2018 13:10Huku Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA likitimiza miaka 50 tangu kuasisiwa kwake, MUFTI Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar bin Zubeir amewataka waalimu wa elimu ya dini kujifunza elimu zinazoendana na mazingira yao, ikiwemo sayansi na teknolojia.
-
Burundi yakanusha uvumi kuwa inataka kujitoa katika Jumauiya ya Afrika Mashariki + Sauti
Dec 17, 2018 13:43Burundi haijafikiria kujiondoka kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Burundi anayehusika na masuala ya Afrika Mashariki ambaye amesisitiza kuwa, endapo itabaini kuwa sheria zinakiukwa kwa maanufaa ya baadhi ya wanachama huku wengine wakikandamizwa basi nchi hiyo inaweza kufikiria kuchukua hatua hiyo. HAMIDA ISSA na taarifa zaidi akiripoti kutoka Bujumbura
-
Tanzania na Misri zasaini Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa Stieglers Gorge+SAUTI
Dec 13, 2018 12:31Rais Dkt John Pombe Magufuli wa Tanzania na mgeni wake, Waziri Mkuu wa Misri, Mostafa Madbouly, wameshiriki utiaji saini wa Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa kuzalisha umeme kwenye Mto Rufiji (Stieglers Gorge).