Wanawake kutoka nchi kadhaa za Afrika wanakongamana mjini Moshi nchini Tanzania katika mkutano wa kujadili haki za mwanamke, hususan haki ya kumiliki ardhi na maliasili.
Waziri Mkuu wa Ufaransa ameunga mkono hatua ya mameya wa miji minne nchini humo kupiga marufuku vazi la stara la kuogelea linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu linalofahamika kama 'burqini'.
Rwanda ni mwenyeji wa kongamano la kwanza la ujasiriamali la kujadili changamoto wanazopitia wafanyabiashara wanawake katika kanda ya Afrika Mashariki.
Mamia ya wanawake nchini Zimbabwe jana walifanya maandamano dhidi ya serikali ya Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo kwa kupiga masufuria; kitendo kinashoashiria namna nchi hiyo inavyokabiliwa na njaa na matatizo ya kiuchumi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayeshughulikia masuala ya wanawake Bi. Shahindokht Molaverdi amesema, Iran na Afrika Kusini zitashirikiana katika kuinua hadhi ya wanawake.
Umoja wa Mataifa umesisitiza juu ya ushiriki zaidi wa wanawake barani Afrika katika masuala ya kijamii na kisiasa kwa shabaha ya kuleta amani na uthabiti barani humo.
Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuwashughulikia wanawake (UN Women) amekosoa idadi ndogo ya wanawake katika bunge la Liberia na kusema ni muhali kwa sauti za wanawake kusikika vyema kutokana na uwakilishi wao mdogo bungeni.
Gazeti la Marekani la The Huffington Post limeripoti kuwa idadi ya wanawake asilia wa Canada waliouawa au kutoweka ni kubwa zaidi ya takwimu zilizokadiriwa hapo awali.
Wanawake na watoto wametajwa kuwa ndiyo wahanga wakuu wa migogoro inayozikumba nchi kadhaa za Afrika.