-
Uvamizi Dhidi ya Iran na Nyufa Ndani ya Ikulu ya Marekani
Mar 15, 2026 05:08Taarifa mpya imefichua kuwa, makamu wa rais wa Marekani, J.D. Vance, tokea alikuwa na mashaka kuhusu vita dhidi ya Iran na hadi sasa anaendelea kupinga mitazamo ya Rais Trump kuhusu vita hivyo ambavyo viko katika wiki ya tatu sasa vimeigharimu Marekani mabilioni ya dola.
-
Ufaransa yamkaidi Trump, yasema manowari zake hazitashiriki katika vita dhidi ya Iran
Mar 15, 2026 04:39Wizara ya Ulinzi ya Ufaransa imetangaza katika taarifa rasmi kwamba manowari za nchi hiyo hazitashiriki katika operesheni yoyote ya mashambulizi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
The Economist: Pipa la mafuta ya petroli litafikia dola 200
Mar 15, 2026 02:07Gazeti la masuala ya kiuchumi la The Economist limeripoti kuwa gharama ya pipa moja la mauta ya petroli itafikia dola 200 iwapo vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vitaendelea.
-
Maseneta wa Marekani wataka kufukuzwa Waziri wa Vita wa nchi hiyo kwa kuua wanafunzi shule ya msingi Minab
Mar 14, 2026 04:00Maseneta Elizabeth Warren na Chriss Van Hollen wa Marekani wametoa wito wa kutimuliwa Waziri wa Vita wa nchi hiyo, Pete Hegseth, kwa sababu ya kutenda jinai ya kuua watoto wadogo wa shule ya msingi nchini Iran.
-
Netanyahu yuko wapi? Galloway ashangazwa na video yake ya Akili Mnemba
Mar 14, 2026 04:35Kiongozi wa Chama cha Wafanyakazi Uingereza, George Galloway amesema video ya hotuba ya Benjamin Netanyahu iliyotengezwa kwa kutumia Akili Mnemba (AI) inaibua masuali mengi kuhusu kitendawili cha aliko Waziri Mkuu huyo wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Akiba ya mafuta ya Marekani yapungua hadi kiwango cha chini kabisa katika miaka 44
Mar 14, 2026 03:48Akiba ya mafuta ya Marekani imepungua hadi kiwango cha chini kabisa katika kipindi cha miaka 44 iliyopita, na hayo ni kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Marekani.
-
Rais wa Belarus: Wavamizi Marekani na Israel hawajafikia malengo yao
Mar 14, 2026 03:45Rais Alexender Lukashenko wa Belarus amelaani mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na kusema kuwa wavamizi hao hawajifikia hata lengo lao moja.
-
Japan: Hakuna Mpango wa Kutuma Jeshi Lango Bahari la Hormuz, Wajapani wapinga vita dhidi ya Iran
Mar 14, 2026 03:44Waziri Mkuu wa Japan amesema wazi katika kikao cha bunge kwamba nchi yakehaina mpango wa kutuma vikosi vya kijeshi kwa ajili ya operesheni za kuondoa mabomu ya baharini katika Lango Bahari la Hormuz.
-
Wataalamu wa haki wa UN walaani mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran
Mar 14, 2026 03:29Kundi moja la wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa limelaani vikali mashambulizi na jinai zinazofanywa na Marekani na Israel dhidi ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Lebanon.
-
Mjumbe wa UN: Walioua watoto wa shule ya msingi ya Minab wapandishwe kizimbani
Mar 13, 2026 08:05Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Elimu Duniani, Gordon Brown, amesema watoto hawapasi kufanywa wahanga wa vita, na shule na hospitali hazipaswi kushambuliwa.