-
Mkuu wa ujasusi wa Trump ajiuzulu kwa mashinikizo ya White House kuhusu vita haramu dhidi ya Iran
May 23, 2026 03:01Mkurugenzi wa Ujasusi wa Kitaifa (DNI) wa Rais wa Marekani, Donald Trump, Tulsi Gabbard, amejiuzulu kutokana na shinikizo kubwa la Ikulu ya White House baada ya kupinga vikali vita haramu na vya uchokozi vya Marekani dhidi ya Iran.
-
Russia: Suala la nyuklia linaweza kutatuliwa kwa kuzingatia maslahi ya Iran
May 23, 2026 02:38Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova, anasema kwamba mgogoro unaoendelezwa na Marekani kuhusu suala la nyuklia la Iran unaweza tu kutatuliwa kwa njia za kidiplomasia na kwa kutilia maanani maslahi ya Iran.
-
Viwango vya Undumakuwili wa Ulaya; Kwa Nini Jinai za Israel Zinanyamaziwa Kimya?
May 22, 2026 15:20Hatua ya utawala wa Kizayuni ya kukamata meli 50 zilizokuwa zimebeba wanaharakati 428 wa haki za binadamu na misaada ya kibinadamu kutoka nchi 44 kwa ajili ya Wapalestina wanaozingirwa na utawala huo huko Gaza katika bahari ya Mediterania imeibua wimbi la hasira na chuki dhidi ya Wazayuni.
-
San Diego yaaga wahanga wa shambulizi dhidi ya Kituo cha Kiislamu katika mazishi ya heshima
May 22, 2026 15:03Zaidi ya watu 2,000 walihudhuria mazishi yaliyofanyika jana Alhamisi ya wahanga watatu wa shambulio dhidi ya msikiti na Kituo cha Kiislamu huko San Diego, California, huku kukiwa na huzuni kubwa zilizoandamana na pongezi kwa kujitolea wahanga hao waliowalinda watoto zaidi ya 140 waliokuwa ndani ya shule ya kituo hicho.
-
Wakazi wa Roma, Italia waandamana kuonesha mshikamano na Palestina
May 22, 2026 14:50Duru za habari zimeripoti kuwa, idadi kubwa ya raia wanaopiga dhulma na ukandamizaji duniani na waungaji mkono wa mapambano ya ukombozi wa Palestina wameandamana huko Roma mji mkuu wa Italia kulalamikia mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya msafara wa kimataifa kwa jina la The Global Sumud Flotilla kwa lengo la kuvunja mzingiro haramu wa Israel dhidi ya watu wa Gaza.
-
Maonyesho ya "Kisiwa cha Dhambi" yafanyika Magharibi mwa Kabul
May 22, 2026 04:09Maonyesho maalumu ya yanayodhihirisha uhalifu wa nchi za kibeberu pamoja na kashfa za kingono za viongozi wa nchi za Magharibi yaliyopewa jina "Kisiwa cha Dhambi" yanafanyika magharibi mwa mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.
-
Ujumbe wa safari ya Rais Putin nchini China kwa ulimwengu
May 21, 2026 13:34Siku nne tu baada ya kufanyika safari ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini China, Rais Xi Jinping wa nchi hiyo amemkaribisha kwa shangwe Rais Vladimir Putin wa Russia mjini Beijing.
-
Iran: UNSC Iivunje ukimya kuhusu vitisho vya Marekani na uhalifu wa kivita
May 21, 2026 13:05Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama livunje ukimya wake kuhusu vitisho vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na ukiukaji wa kimfumo wa sheria za kimataifa za kibinadamu uliofanyika wakati wa vita haramu vya hivi karibuni.
-
Putin na Xi walaani vita vya uchokozi vya Marekani na Israel dhidi ya Iran
May 21, 2026 04:28Rais wa Russia, Vladimir Putin, na mwenzake wa Jamhuri ya Watu wa China, Xi Jinping, wamekemea kwa pamoja vita vya hivi karibuni vya uchokozi vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wakisisitiza kwamba njia pekee ya kumaliza mzozo huo unaotishia uthabiti wa kanda ni kupitia mazungumzo na diplomasia.
-
Viongozi wa China na Russia: Tunafanya kazi ili kuasisi utaratibu wa kiadilifu na haki zaidi duniani
May 20, 2026 11:04Viongozi wa China na Russia wamesisitiza mwanzoni mwa mazungumzo yao kuhusu azimio la pamoja la nchi hizo mbili la kuasisi utaratibu wa haki zaidi wa kimataifa na ulimwengu wa kambi kadhaa.