-
Vyombo vya habari Marekani: Trump anataka kumteua rais wa FIFA kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
Jul 22, 2026 10:19Rais wa Marekani, Donald Trump, anataka kumteua Rais wa FIFA, Gianni Infantino katika nafasi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.
-
Uholanzi yatangaza kususia bidhaa zinazotoka Israel
Jul 22, 2026 09:47Kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari, serikali ya Uholanzi imeamua kupiga marufuku uingizaji, ununuzi na uuzaji wa bidhaa zinazozalishwa katika maeneo ya vitongozi haramu vya walowezi wa utawala wa Kizayuni.
-
Ripoti ya UN: Njaa inapungua lakini bado iko juu ikilinganishwa na viwango vya kabla ya COVID
Jul 22, 2026 03:08Inakadiriwa kuwa watu milioni 645 walikumbwa na njaa mwaka jana duniani kote; idadi ambayo ni pungufu kwa watu milioni 14 ikilinganishwa na mwaka 2024, na wakati huo huo ni pungufu kwa watu milioni 43 ikilinganishwa na idadi ya watu walioathiriwa na njaa mwaka wa 2022. Takwimu hizi ni kwa mujibu wa ripoti ya karibuni ya Umoja wa Mataifa kuhusu Hali ya Usalama wa Chakula na Lishe Duniani.
-
Ukandamizaji wa sauti za kutetea Palestina nchini Ujerumani
Jul 21, 2026 11:25Mauaji ya halaiki yanayoendelezwa na utawala wa Israel huko Gaza kwa kiasi kikubwa yamefutwa kwenye vyombo vya habari vya Ujerumani na katika ajenda ya umma; hata hivyo, ukandamizaji wa sauti za kuunga mkono Palestina haujatoweka.
-
The Guardian: Trump ndiye adui nambari moja wa jamii ya kimataifa
Jul 20, 2026 10:15Gazeti la Uingereza The Guardian limemuelezea Rais wa Marekani Donald Trump kuwa ndiye “adui wa nambari moja wa jamii ya kimataifa”, likikosoa sera na hatua zake katika masuala ya kimataifa.
-
Hamas yapongeza ushindi wa Uhispania katika Kombe la Dunia, yasema ni pigo kwa utawala wa Kizayuni
Jul 20, 2026 04:12Afisa mwandamizi wa Harakati ya Kiislamu ya Mapambano ya Palestina, Hamas, ametoa pongezi za dhati kwa Uhispania kufuatia ushindi wake baada ya mechi ngumu katika fainali ya Kombe la Dunia la FIFA la mwaka 2026, akielezea mafanikio hayo kuwa ni chanzo cha furaha kwa watu wa Palestina na wafuasi wote wa haki, huku akibainisha kuwa ushindi huo ni pigo hasa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel na wafadhili wake.
-
Baada ya vita dhidi ya Iran: Akiba ya mafuta ya Marekani yashuka hadi kiwango cha chini zaidi
Jul 20, 2026 04:03Gazeti la Eurasia Daily limeripoti kuwa mvutano unaoendelea katika eneo la Asia Magharibi umesababisha akiba ya mafuta ya Marekani kushuka hadi kiwango cha chini zaidi katika kipindi cha miaka 43 iliyopita.
-
Kwa nini Trump Aliachana na Mpango wa Kutoza Ushuru wa 20% kwenye Lango-Bahari la Hormuz?
Jul 18, 2026 09:49Rais Donald Trump wa Marekani ameachana na mpango wake wa kutoza ushuru wa asilimia 20 kwenye Lango Bahari la Hormuz. Trump ambaye awali alidai kwamba Marekani ina nia ya kuwa "mlinzi wa Lango-Bahari la Hormuz" na kusema atatoza ushuru wa asilimia 20 kwenye njia hii ya maji ambayo hana mamlaka nayo, hatimaye ameachana na ndoto hiyo isiyothibiti.
-
WHO: Ada za mazishi zinatatiza juhudi za kudhibiti Ebola Congo DR
Jul 18, 2026 09:09Umoja wa Mataifa umeonya kwamba kusafirisha miili za waathiriwa wa virusi vya Ebola kati ya maeneo mbalimbali kwa ajili ya mazishi katika miji yao kunaweza kuchangia kuenea kwa maambukizi, wakati huu ambapo idadi ya maambukizi ya virusi hivyo imeongezeka kwa takriban 70% katika wiki mbili, huku zaidi ya maambukizi 40 mapya yakirekodiwa kila siku kwa wastani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Tucker Carlson: Marekani inakabiliwa na tishio la mapinduzi ya umma
Jul 18, 2026 03:12Mwanahabari maarufu wa kihafidhina wa Marekani amesema kwamba nchi hiyo inakabiliwa na tishio la mapinduzi ya umma.