-
Iran: Tunaichukulia Hija kuwa ni nembo na dhihirisho la umoja na mshikamano
Jun 18, 2024 10:51Balozi wa Iran nchini Saudi Arabia amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inaichukulia ibada ya Hija kuwa ni kielelezo na mhimili wa umoja na mshikamano katika safu za Waislamu na ni fursa adhimu ya kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu na kufikiria kwa pamoja njia za kutatua masuala ya Waislamu.
-
Jumapili, 16 Juni, 2024
Jun 18, 2024 10:34Leo ni Jumapili 9 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1445 Hijria mwafaka na 16 Juni 2024 Miladia.
-
Jumatano, tarehe 28 Juni mwaka 2023
Jun 28, 2023 02:20Leo ni Jumatano tarehe 9 Dhulhija 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 28 Juni mwaka 2023.
-
Mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu wasimama Arafa, kesho ni Mina
Jun 27, 2023 13:22Mmilioni ya Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, Al Kaaba, leo wanasimama katika uwanja wa Arafa katika kilele cha ibada tukufu ya Hijja.
-
Mahujaji zaidi ya milioni moja wawasili Saudia kwa ajili ya Hija
Jun 18, 2023 07:48Waziri wa Hija na Umra wa Saudi Arabia amesema nchi hiyo imepokea mahujaji zaidi ya milioni moja, wageni wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu walioenda kutekeleza ibada ya Hija ya mwaka huu.
-
Saudia yatoa miongozo kwa mahujaji, imo marufuku ya kupiga picha maeneo matakatifu
May 27, 2023 10:49Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imetoa taarifa ya miongozo kwa mahujaji wa mwaka huu wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu.
-
Umuhimu wa kisiasa wa ibada ya Hija katika maneno ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
May 18, 2023 09:20Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei asubuhi ya jana Jumatano (tarehe 17 Mei) alieleza baadhi ya vipengee umuhimu vya kisiasa vya ibada ya Hija katika kikao chake na maafisa, wasimamizi na baadhi ya Wairani waliojiandikisha kushiriki ibada ya Hija mwaka huu.
-
Polisi wa kike wasimamia ibada ya Hija na Umra kwa mara ya kwanza nchini Saudi Arabia
Apr 03, 2023 11:50Kwa mara ya kwanza nchini Saudi Arabia, doria za polisi zinafanyika katika ibada ya Hija na Umra kwenye mwezi wa Ramadhani kwa kushirikisha askari usalama wa kike.
-
Mahujaji wa Kiirani walaani kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel
Jul 09, 2022 09:45Ummati mkubwa wa Mahujaji wa Kiirani sambamba na kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina, lakini umekosoa pia njama ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Allah wasimama Arafa
Jul 08, 2022 10:31Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu wanasimama katika uwanja wa Arafa hii leo Ijumaa, kisimamo hicho kikiashiria kilele cha ibada tukufu ya Hijja.