Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msimu wa Hija

  • Iran: Tunaichukulia Hija kuwa ni nembo na dhihirisho la umoja na mshikamano

    Iran: Tunaichukulia Hija kuwa ni nembo na dhihirisho la umoja na mshikamano

    Jun 18, 2024 10:51

    Balozi wa Iran nchini Saudi Arabia amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inaichukulia ibada ya Hija kuwa ni kielelezo na mhimili wa umoja na mshikamano katika safu za Waislamu na ni fursa adhimu ya kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu na kufikiria kwa pamoja njia za kutatua masuala ya Waislamu.

  • Jumapili, 16 Juni, 2024

    Jumapili, 16 Juni, 2024

    Jun 18, 2024 10:34

    Leo ni Jumapili 9 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1445 Hijria mwafaka na 16 Juni 2024 Miladia.

  • Jumatano, tarehe 28 Juni mwaka 2023

    Jumatano, tarehe 28 Juni mwaka 2023

    Jun 28, 2023 02:20

    Leo ni Jumatano tarehe 9 Dhulhija 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 28 Juni mwaka 2023.

  • Mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu wasimama Arafa, kesho ni Mina

    Mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu wasimama Arafa, kesho ni Mina

    Jun 27, 2023 13:22

    Mmilioni ya Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, Al Kaaba, leo wanasimama katika uwanja wa Arafa katika kilele cha ibada tukufu ya Hijja.

  • Mahujaji zaidi ya milioni moja wawasili Saudia kwa ajili ya Hija

    Mahujaji zaidi ya milioni moja wawasili Saudia kwa ajili ya Hija

    Jun 18, 2023 07:48

    Waziri wa Hija na Umra wa Saudi Arabia amesema nchi hiyo imepokea mahujaji zaidi ya milioni moja, wageni wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu walioenda kutekeleza ibada ya Hija ya mwaka huu.

  • Saudia yatoa miongozo kwa mahujaji, imo marufuku ya kupiga picha maeneo matakatifu

    Saudia yatoa miongozo kwa mahujaji, imo marufuku ya kupiga picha maeneo matakatifu

    May 27, 2023 10:49

    Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imetoa taarifa ya miongozo kwa mahujaji wa mwaka huu wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu.

  • Umuhimu wa kisiasa wa ibada ya Hija katika maneno ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Umuhimu wa kisiasa wa ibada ya Hija katika maneno ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    May 18, 2023 09:20

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei asubuhi ya jana Jumatano (tarehe 17 Mei) alieleza baadhi ya vipengee umuhimu vya kisiasa vya ibada ya Hija katika kikao chake na maafisa, wasimamizi na baadhi ya Wairani waliojiandikisha kushiriki ibada ya Hija mwaka huu.

  • Polisi wa kike wasimamia ibada ya Hija na Umra kwa mara ya kwanza nchini Saudi Arabia

    Polisi wa kike wasimamia ibada ya Hija na Umra kwa mara ya kwanza nchini Saudi Arabia

    Apr 03, 2023 11:50

    Kwa mara ya kwanza nchini Saudi Arabia, doria za polisi zinafanyika katika ibada ya Hija na Umra kwenye mwezi wa Ramadhani kwa kushirikisha askari usalama wa kike.

  • Mahujaji wa Kiirani walaani kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Mahujaji wa Kiirani walaani kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Jul 09, 2022 09:45

    Ummati mkubwa wa Mahujaji wa Kiirani sambamba na kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina, lakini umekosoa pia njama ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Allah wasimama Arafa

    Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Allah wasimama Arafa

    Jul 08, 2022 10:31

    Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu wanasimama katika uwanja wa Arafa hii leo Ijumaa, kisimamo hicho kikiashiria kilele cha ibada tukufu ya Hijja.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Kiongozi Muadhamu amwambia Trump: Wewe ni nani hasa?

    Kiongozi Muadhamu amwambia Trump: Wewe ni nani hasa?

    1 hour ago
  • Kushner: Hamas 'inatekeleza kwa nia njema' makubaliano ya usitishaji vita Ghaza

  • Italia yaokoa wahajiri 91, yaopoa maiti 2 kwenye pwani ya Lampedusa katika Bahari ya Mediterania

  • Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha

  • Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano

Chaguo La Mhariri
  • Maaandamano dhidi ya Trump nchini Marekani yanafanyika kwa malengo gani

    Maaandamano dhidi ya Trump nchini Marekani yanafanyika kwa malengo gani

    12 hours ago
  • Trump abadilisha msimamo wa kutuma makombora ya Tomahawk kwenda Ukraine

    Trump abadilisha msimamo wa kutuma makombora ya Tomahawk kwenda Ukraine

    1 day ago
  • NAM yaonya kuhusu chokochoko za Washington; Je, Marekani iko mbioni kushambulia Venezuela?

    NAM yaonya kuhusu chokochoko za Washington; Je, Marekani iko mbioni kushambulia Venezuela?

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Iran yazindua makombora ya Emad, Ghadr yaliyoboreshwa

  • Mshindi wa Tuzo ya Nobel ampongeza Netanyahu kwa vita dhidi ya Gaza

  • Trump abadilisha msimamo wa kutuma makombora ya Tomahawk kwenda Ukraine

  • China, Iran na Russia zathibitisha; Muda wa Azimio Nambari 2231 umemalizika

  • Iran yailaani Israel kwa kuendelea kuua wanawake na watoto Gaza

  • NAM yaonya kuhusu chokochoko za Washington; Je, Marekani iko mbioni kushambulia Venezuela?

  • Jan Eliasson: Kurudishwa vikwazo dhidi ya Iran ni hatua ya kurudi nyuma

  • Hamas yakanusha madai ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ya kukiuka usitishaji mapigano

  • Meja Jenerali Pakpour: Iran iko tayari kikamilifu kuimarisha uhusiano wa kistratejia na Yemen

  • HAMAS: Hatutajifunga kukabidhi silaha mpaka yatakapofanyika mazungumzo zaidi

  • Hizbullah: Vita vya utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya kusini mwa Lebanon vingali vinaendelea

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS