-
Walowezi wa Kiyahudi wauvunjia heshima tena msikiti wa al-Aqswa
Dec 05, 2016 00:40Makumi ya walowezi wa Kiyahudi jana Jumapili waliuvamia Msikiti Mtukufu wa al Aqsa katika mji wa Baitul Muqaddas na kulivunjia heshima eneo hilo tukufu.
-
Radiamali ya Iran kuhusu kupigwa marufuku adhana misikitini huko Quds
Nov 17, 2016 00:54Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amezitolea wito jamii ya kimataifa na nchi za Kiislamu kufanya juhudi ili kuzuia kubadilishwa utambulisho wa Kiislamu wa Baitul Muqaddas.
-
Kupigwa marufuku adhana katika Msikiti wa al Aqsa, hatua mpya ya Israel katika fremu ya sera za Trump
Nov 15, 2016 04:09Katika fremu ya kudumisha sera za kuiyahudisha Quds tukufu na kufuta kabisa nembo na alama zote za Kiislamu katika ardhi ya Palestina, Baraza la Mawaziri la Israel limeafiki mpango wa kupiga marufuku adhana katika misikiti ya Quds ukiwemo Msikiti wa al Aqsa.
-
Walowezi wa Kizayuni washambulia tena Masjidul Aqsa
Nov 10, 2016 09:54Kwa mara nyingine tena walowezi wa Kizayuni wamekishambulia kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
UNESCO yapinga njama za kuiyahudisha Baitul Muqaddas
Nov 09, 2016 07:46Eneo la Baitul Muqaddas (Jerusalem) na Haram tukufu ya Msikiti wa al Aqsa limekuwa likizusha hitilafu na migogoro kwa miaka mingi.
-
Hasira za Marekani na Israel kwa uamuzi wa UNESCO kuhusu Quds
Oct 15, 2016 00:24Uamuzi wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) wa kusisitiza kuwa Mayahudi hawana uhusiano wowote ule na Masjidul Aqsa, (Kibla cha Kwanza cha Waislamu) wala mji wa Quds, umewahamakisha sana viongozi wa utawala wa Kizayuni na Marekani
-
Maelfu ya Wapalestina wasali Ijumaa katika msikiti mtukufu wa Al-Aqsa
Oct 08, 2016 00:36Makumi ya maelfu ya Wapalestina wameshiriki kwenye Sala ya Ijumaa katika msikiti mtukufu wa Al-Aqsa licha ya vizuizi na hatua kali za usalama zilizochukuliwa na utawala wa Kizayuni katika mji wa Baitul Muqaddas, Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Wazayuni 40 wameangamizwa na zaidi ya 400 wamejeruhiwa tangu kuanza Intifadha ya Quds
Sep 24, 2016 04:38Duru za Kizayuni zimetangaza kuwa tangu kuanza operesheni za muqawama wa Wapalestina sambamba na Intifadha ya Quds hadi sasa, wazayuni 40 wameuawa na wengine 458 wamejeruhiwa.
-
HAMAS: Intifadha ya Quds itaendelea
Sep 12, 2016 23:45Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuna ulazima wa kuendelezwa Intifadha ya Quds dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Jihad Islami Palestina kuendeleza mapambano ya kukomboa Quds
Sep 02, 2016 10:27Afisa wa ngazi za juu wa harakati ya kupigania ukombozi Palestina ya Jihad Islami amesisitiza udharura wa kuendelezwa mapambano na mwamko (Intifadha) dhidi ya utawala ghasibu wa Israel ili kukomboa ardhi zote za Palestina hasa Quds Tukufu (Jerusalem).