-
Ammar Hakim: Kosa la Marekani la kuwauwa makamanda wa muqawama halisameheki
Jan 04, 2023 07:34Sayyid Ammar Hakim, Kiongozi wa Harakati ya Hikma ya Kitaifa ya Iraq amesema kuwa, kosa la Marekani la kuwauwa makamanda wa ushindi wa muqawama halisameheki.
-
Raisi: Ulipizaji kisasi cha damu ya Shahidi Soleimani ni hakika isiyoepukika
Jan 03, 2023 15:24Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Wamarekani wanapaswa kujua kwamba watu wa Iran hawataiacha damu ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani iende bure, na bila shaka watalipiza kisasi kwa damu ya shahidi huyo wa ngazi ya juu.
-
Wananchi wa Iran wamkumbuka Jenerali Soleimani aliyeuawa kigaidi na Marekani
Jan 03, 2023 15:21Wananchi kote katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo wametoa heshima kwa shujaa wao Jenerali Haj Qassem Soleimani, kamanda maarufu duniani wa mapambano dhidi ya ugaidi ambaye aliuawa katika hujuma ya kigaidi ya Marekani mwaka 2020.
-
Njia ya fikra ya Shahidi Qassem Soleimani: Mhimili wa Muqawama na Mapambano
Jan 03, 2023 09:17Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo, na karibuni kuwa nasi tena katika mfululizo mwingine wa kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa tatu wa kuuawa shahidi Luteni Jenerali Shahidi Qassem Soleimani, ambapo katika mfululizo huu wa tatu tutatalii moja ya vipindi maalumu vya maisha ya kamanda huyo.
-
IRGC: Kulipiza kisasi dhidi ya wauaji wa Shahidi Soleimani ni jambo lisilo na shaka
Jan 03, 2023 03:04Katika mwaka wa tatu wa kuuawa shahidi Jenerali Hajj Qassem Soleimani, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema kulipiza kisasi dhidi ya wahalifu na wauaji wa shahidi huyo ni jambo ambalo bila shaka litafanyika.
-
Amir-Abdollahian: Iran kufanya duru ya nne ya mazungumzo na Iraq kuhusu faili la Shahidi Soleimani
Jan 03, 2023 02:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa duru ya nne ya mazungumzo kati ya Iran na Iraq kwa ajili ya kufuatilia faili la mauaji ya Shahidi Qassem Soleimani na wanajihadi wenzake itafanyika Iran.
-
Jumanne, Januari 3, 2023
Jan 03, 2023 02:15Leo ni Jumanne 10 Mfunguo Tisa Jumadithani 1444 Hijria sawa na Januari 3 mwaka 2023 Milaadia.
-
Baraza la Maulamaa la Nigeria: Mauaji ya Jenerali Soleimani ni jinai
Jan 02, 2023 11:29Baraza la Maulamaa wa Kiislamu Nigeria, limelaani vikali mauaji ya kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Luteni Jenerali Qassem Solaimani na kusema mauaji hayo yaliyotekelezwa na Marekani ni jinai.
-
Raia wa nchi nne walihusika katika mauaji ya Kamanda Qassem Soleimani
Jan 02, 2023 07:41Mkuu wa kamati maalumu ya ufuatiliaji wa kisheria na wa kimataifa wa faili la mauaji ya Kamanda Qassem Soleimani katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, raia wa nchi nne walihusika katika mauaji ya kamanda huyo.
-
Mukhtasari wa Maisha na Historia ya Shahidi Haj Qassem Soleimani
Jan 01, 2023 12:22Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili ya sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran popote pale yanapokufikieni matangazo haya kutoka hapa mjini Tehran.