Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shahid Qassem Soleimani

  • Ammar Hakim: Kosa la Marekani la kuwauwa makamanda wa muqawama halisameheki

    Ammar Hakim: Kosa la Marekani la kuwauwa makamanda wa muqawama halisameheki

    Jan 04, 2023 07:34

    Sayyid Ammar Hakim, Kiongozi wa Harakati ya Hikma ya Kitaifa ya Iraq amesema kuwa, kosa la Marekani la kuwauwa makamanda wa ushindi wa muqawama halisameheki.

  • Raisi: Ulipizaji kisasi cha damu ya Shahidi Soleimani ni hakika isiyoepukika

    Raisi: Ulipizaji kisasi cha damu ya Shahidi Soleimani ni hakika isiyoepukika

    Jan 03, 2023 15:24

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Wamarekani wanapaswa kujua kwamba watu wa Iran hawataiacha damu ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani iende bure, na bila shaka watalipiza kisasi kwa damu ya shahidi huyo wa ngazi ya juu.

  • Wananchi wa Iran wamkumbuka Jenerali Soleimani aliyeuawa kigaidi na Marekani

    Wananchi wa Iran wamkumbuka Jenerali Soleimani aliyeuawa kigaidi na Marekani

    Jan 03, 2023 15:21

    Wananchi kote katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo wametoa heshima kwa shujaa wao Jenerali Haj Qassem Soleimani, kamanda maarufu duniani wa mapambano dhidi ya ugaidi ambaye aliuawa katika hujuma ya kigaidi ya Marekani mwaka 2020.

  • Njia ya fikra ya Shahidi Qassem Soleimani: Mhimili wa Muqawama na Mapambano

    Njia ya fikra ya Shahidi Qassem Soleimani: Mhimili wa Muqawama na Mapambano

    Jan 03, 2023 09:17

    Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo, na karibuni kuwa nasi tena katika mfululizo mwingine wa kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa tatu wa kuuawa shahidi Luteni Jenerali Shahidi Qassem Soleimani, ambapo katika mfululizo huu wa tatu tutatalii moja ya vipindi maalumu vya maisha ya kamanda huyo.

  • IRGC: Kulipiza kisasi dhidi ya wauaji wa Shahidi Soleimani ni jambo lisilo na shaka

    IRGC: Kulipiza kisasi dhidi ya wauaji wa Shahidi Soleimani ni jambo lisilo na shaka

    Jan 03, 2023 03:04

    Katika mwaka wa tatu wa kuuawa shahidi Jenerali Hajj Qassem Soleimani, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema kulipiza kisasi dhidi ya wahalifu na wauaji wa shahidi huyo ni jambo ambalo bila shaka litafanyika.

  • Amir-Abdollahian: Iran kufanya duru ya nne ya mazungumzo na Iraq kuhusu faili la Shahidi Soleimani

    Amir-Abdollahian: Iran kufanya duru ya nne ya mazungumzo na Iraq kuhusu faili la Shahidi Soleimani

    Jan 03, 2023 02:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa duru ya nne ya mazungumzo kati ya Iran na Iraq kwa ajili ya kufuatilia faili la mauaji ya Shahidi Qassem Soleimani na wanajihadi wenzake itafanyika Iran.

  • Jumanne, Januari 3, 2023

    Jumanne, Januari 3, 2023

    Jan 03, 2023 02:15

    Leo ni Jumanne 10 Mfunguo Tisa Jumadithani 1444 Hijria sawa na Januari 3 mwaka 2023 Milaadia.

  • Baraza la Maulamaa la Nigeria: Mauaji ya Jenerali Soleimani ni jinai

    Baraza la Maulamaa la Nigeria: Mauaji ya Jenerali Soleimani ni jinai

    Jan 02, 2023 11:29

    Baraza la Maulamaa wa Kiislamu Nigeria, limelaani vikali mauaji ya kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Luteni Jenerali Qassem Solaimani na kusema mauaji hayo yaliyotekelezwa na Marekani ni jinai.

  • Raia wa nchi nne walihusika katika mauaji ya Kamanda Qassem Soleimani

    Raia wa nchi nne walihusika katika mauaji ya Kamanda Qassem Soleimani

    Jan 02, 2023 07:41

    Mkuu wa kamati maalumu ya ufuatiliaji wa kisheria na wa kimataifa wa faili la mauaji ya Kamanda Qassem Soleimani katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, raia wa nchi nne walihusika katika mauaji ya kamanda huyo.

  • Mukhtasari wa Maisha na Historia ya Shahidi Haj Qassem Soleimani

    Mukhtasari wa Maisha na Historia ya Shahidi Haj Qassem Soleimani

    Jan 01, 2023 12:22

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili ya sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran popote pale yanapokufikieni matangazo haya kutoka hapa mjini Tehran.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Iran: Marekani itashindwa kumuokoa Netanyahu na kipigo kijacho cha ‘kupoozesha’

    Iran: Marekani itashindwa kumuokoa Netanyahu na kipigo kijacho cha ‘kupoozesha’

    57 minutes ago
  • Askari wapatao 40 Israel waangamizwa na kujeruhiwa katika mzingiro Ghaza

  • Barua ya siri ya Trump itairuhusu Israel kuanzisha vita tena Ghaza hata vikisitishwa

  • Lavrov: Makubaliano kuhusu Ukraine lazima yadhamini usalama wa Russia

  • Rais wa Rwanda asema hana uhakika wa kufanikiwa makubaliano ya amani ya DRC

Chaguo La Mhariri
  • Jibu thabiti la Araghchi kwa msimamo wa kimihemko wa Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya

    Jibu thabiti la Araghchi kwa msimamo wa kimihemko wa Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya

    5 hours ago
  • Sababu za Marekani kusimamisha kutuma mokombora ya ulinzi wa anga nchini Ukraine

    Sababu za Marekani kusimamisha kutuma mokombora ya ulinzi wa anga nchini Ukraine

    20 hours ago
  • Kwa nini shambulio la Israel na Marekani dhidi ya Iran limetoa pigo kubwa kwa NPT?

    Kwa nini shambulio la Israel na Marekani dhidi ya Iran limetoa pigo kubwa kwa NPT?

    2 days ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Afisa wa Israel: Kujenga upya uharibifu uliotokana na mashambulio ya Iran kutachukua miaka

  • Sababu za Marekani kusimamisha kutuma mokombora ya ulinzi wa anga nchini Ukraine

  • Rais Pezeshkian: Taifa la Iran limetoa somo kubwa kwa wavamizi wa Kizayuni

  • Araqchi: Mazungumzo ya kuhitimisha mpango wa nyuklia wa Iran hayakubaliki

  • Maandamano Uturuki ya kulaani katuni za kumvunjia heshima Mtume (SAW)

  • IRGC yaonya Israel: Iran haitazingatia 'mistari miekundu' ikishambuliwa tena

  • Francesca Albanese: Makampuni kadhaa ya kimataifa yanahusika katika mauaji ya kimbari ya Gaza

  • Chama cha siasa cha '47 Voices of Kenya Congress', chaingia rasmi kwenye uwanja wa siasa

  • Iran: Marekani ithibitishe dhamira yake ya diplomasia kabla ya kuanza tena mazungumzo ya nyuklia

  • Rais Ruto akiri kujenga kanisa ndani ya Ikulu ya Rais, asema: Sitaomba msamaha

  • Borrell: Mamluki wa Kimarekani wameua Wapalestina 550 huko Gaza katika mwezi mmoja

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS