Viongozi wa dini Tanzania: Kubeti ni kamari, ni haramu! + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i51157-viongozi_wa_dini_tanzania_kubeti_ni_kamari_ni_haramu!_sauti
Viongozi wa kidini na wa kiserikali nchini Tanzania wamekemea vitendo vya kubeti na kucheza kamari ambavyo vimekithiri nchini humo hali ambayo inapelekea kuzalika vijana wasiofanya kazi wakiweka matumaini zaidi ya kupata kipato chao kupitia njia hizo. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam Tanzania.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Jan 27, 2019 14:50 UTC

Viongozi wa kidini na wa kiserikali nchini Tanzania wamekemea vitendo vya kubeti na kucheza kamari ambavyo vimekithiri nchini humo hali ambayo inapelekea kuzalika vijana wasiofanya kazi wakiweka matumaini zaidi ya kupata kipato chao kupitia njia hizo. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam Tanzania.