-
Waziri Mkuu wa Senegal aliyefutwa kazi achaguliwa kuwa Spika wa Bunge
May 27, 2026 03:03Waziri Mkuu wa zamani wa Senegal Ousmane Sonko jana alichaguliwa kuwa Spika wa Bunge la nchi hiyo akimrithi El Malick Ndiaye, aliyejiuzulu siku ya Jumapili.
-
Mkurugenzi Mkuu wa WHO: Vifo vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola vyafika 220
May 26, 2026 11:11Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameeleza kuwa vifo 220 vinashukiwa kusababishwa na mlipuko wa sasa wa homa hatari ya Ebola.
-
Mgogoro wa kisiasa washtadi Senegal baada ya Rais kumteua Al Aminou Lo kuwa Waziri Mkuu
May 26, 2026 11:06Mgogoro wa kisiasa wa Senegal umeshika kasi huku Rais wa nchi hiyo Bassirou Diomaye Faye akimteua mchumi Ahmadou Al Aminou Lo katika nafasi ya Waziri Mkuu akichukua nafasi ya Ousmane Sonko aliyefutwa kazi.
-
Rais wa Nigeria Tinubu kugombea tena kiti cha urais baada ya kuteuliwa na chama
May 25, 2026 09:14Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, atagombea tena katika uchaguzi mkuu mwezi Januari mwakani baada ya kushinda uteuzi wa chama chake katika kura za mchujo za All Progressives Congress.
-
Mkuu wa WHO ataka hatua za haraka dhidi ya Ebola
May 24, 2026 12:37Mwishoni mwa Mkutano wa 79 wa Baraza la Afya Duniani, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Matiafa la Afya Duniani (WHO) amezitaka nchi wanachama kuimarisha ushirikiano wa kimataifa dhidi ya milipuko ya magonjwa hatari, akionya kuhusu tishio linaloongezeka la Ebola, virusi vya Hanta na majanga ya magonjwa yajayo.
-
Mkutano wa India na Afrika waahirishwa kutokana na mlipuko wa Ebola
May 24, 2026 03:23Umoja wa Afrika (AU) umekubaliana na India kuahirisha mkutano uliopangwa kufanyika New Delhi kutokana na hofu ya kuenea mlipuko wa Ebola ulioua zaidi ya watu 160 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na mtu mmoja nchini Uganda jirani.
-
Mkuu wa afya barani Afrika: Mlipuko wa Ebola unatishia nchi 10 zaidi
May 24, 2026 03:21Kituo cha Afya cha Umoja wa Afrika kimetahadharisha kuwa nchi kumi za Kiafrika ziko hatarini kuathiriwa na virusi vya Ebola, mbali na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda.
-
Kundi la Kimataifa la Mawasiliano lazitaka pande hasimu Kongo kufanikisha juhudi za kukabiliana na Ebola
May 23, 2026 12:26Kundi la Kimataifa la Mawasiliano la Eneo la Maziwa Makuu (ICG) limebainisha wasiwasi wake kuhusu kuendelea mzozo mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo huku nchi hiyo ikiwa imeathiriwa na mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola.
-
Kwa nini mashambulizi dhidi ya wageni yanaongezeka Afrika Kusini?
May 23, 2026 12:20Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeonya kuhusu wimbi jipya la mashambulizi ya chuki dhidi ya wageni nchini Afrika Kusini huku makundi yanayopinga wahamiaji na wageni nchini humo yakiendelea kuandamana na kushajiiisha vitendo vya kuwalenga raia wa kigeni wakiwemo Wazimbabwe.
-
Watu wenye hasira washambulia kituo cha matibabu ya Ebola mashariki mwa Kongo
May 22, 2026 14:38Waandamanaji waliokuwa na hasira wameshambulia na kuchoma moto mahema kadhaa katika kituo cha matibabu ya Ebola katika jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wakijaribu kudai miili ya jamaa zao waliofariki dunia kwa ugonjwa huo.