-
Afrika Kusini yalaani mpango wa wakimbizi wa Marekani kwa mapungufu yake mengi
Nov 01, 2025 11:40Serikali ya Afrika Kusini imelezea kusikitishwa na mpango wa wakimbizi wa Marekani, ikiuelezea kuwa si sahihi ni upotoshaji na una mapungufu mengi.
-
Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania: Samia ameshinda uchaguzi wa rais kwa asilimia 98 ya kura
Nov 01, 2025 07:27Tume Huru ya Uchaguzi nchini Tanzania imemtangaza Samia Suluhu Hassan kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais ulifanyika Oktoba 29 kwa asilimia 98 ya kura.
-
Tanzania yakanusha madai ya kutumia nguvu dhidi ya waandamanaji
Nov 01, 2025 03:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mahmoud Thabit Kombo, amekanusha madai ya matumizi ya nguvu kupita kiasi dhidi ya waandamanaji wanaopinga zoezi la Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29.
-
Hali bado si shwari Tanzania, matokeo yakiendelea kutangazwa
Oct 31, 2025 12:12Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania inaendelea kutangaza matokeo ya awali ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika 29 Oktoba, 2025.
-
Umoja wa Mataifa waonya kuhusu 'ukatili wa kutisha' nchini Sudan
Oct 31, 2025 10:25Maafisa wa Umoja wa Mataifa wameonya kuhusiana na 'ukatili wa kutisha' unaofanyika nchini Sudan.
-
Maporomoko ya matope yaua watu 9 mashariki mwa Uganda
Oct 31, 2025 06:50Kwa uchache watu tisa, wakiwemo watoto watatu wa familia moja, wamepoteza maisha katika maporomoko ya matope yaliyosababishwa na mvua kubwa mashariki mwa Uganda.
-
Matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 Tanzania yaendelea kutangazwa, Mwinyi atangazwa mshindi Zanzibar
Oct 31, 2025 03:16Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania INEC ilianza kutangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 jana Alkhamisi, huku Tume ya Uchahguzi Zanzibar ZEC ikimtangaza Rais Hussein Ali Hassan Mwinyi kuwa mshindi wa urais wa Zanzibar matokeo ambayo yamesusiwa na chama kikuu cha upinzani Zanzibar cha ACT Wazalendo.
-
Sheikh Mkuu wa al-Azhar ya Misri aitaka Italia iitambue Palestina
Oct 31, 2025 03:14Sheikh Mkuu wa Chuo Kikuu cha al-Azhar cha Misri ameitaka Italia ilitambue rasmi taifa la Palestina.
-
Mkuu wa WHO alaani kuuliwa wagonjwa na raia katika mji wa El Fasher nchini Sudan
Oct 31, 2025 03:14Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani WHO amelaani taarifa iliyoripotiwa kuhusu kuuliwa wagonjwa na raia kufuatia kushtadi machafuko katika mji wa El Fasher nchini Sudan. Tedros Adhanom Ghebreyesus ametaka kuhitimishwa uhasama.
-
Wananchi wa Tanzania wanaendelea kusubiri matokeo ya uchaguzi
Oct 30, 2025 13:01Wananchi wa Tanzania wanaendelea kusubiri matokeo ya uchaguzi uliofanyika jana Jumatano na kutawaliwa na maandamano ya hapa na pale huku hali ya mambo ikianza kurejea katika hali ya kawaida.