-
Iran yahimiza kufukuzwa Israel katika Tume ya Umoja wa Mataifa ya Wanawake
Nov 30, 2024 09:44Katibu wa Tume ya Haki za Binadamu ya Iran, ameitaka Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu Hali ya Wanawake (UNCSW) kuiondoa Israel katika jumuiya hiyo ya kimataifa kutokana na vita vyake vya umwagaji damu na uhalifu wa kutisha dhidi ya wanawake na wasichana katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.
-
Iran na nchi tatu za Ulaya zaafikiana kuendeleza mazungumzo ya kidiplomasia
Nov 30, 2024 03:58Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran wa masuala ya Sheria na Kimataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu na nchi tatu za Ulaya zimeafikiana kuendeleza mazungumzo ya kidiplomasia.
-
Iran yatoa wito kwa EU kubadili tabia ya ‘kiburi, kutowajibika’
Nov 29, 2024 23:18Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameutaka Umoja wa Ulaya kubadili tabia yake ya "kiburi na kutowajibika" mkabala wa Tehran huku mazungumzo kati ya wanadiplomasia wa Iran na Ulaya yakitarajiwa kuanza mjini Geneva.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Magharibi iwezeshe kufanyika mazungumzo kwa kuheshimu haki za taifa la Iran
Nov 29, 2024 08:38Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesema: "ikiwa Magharibi itarekebisha mwenendo wake na pande mbili zikaheshimiana, itaweza kuandaa mazingira ya kufanyika mazungumzo na kufikia makubaliano na Iran".
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Wanaohuisha jina na kumbukumbu ya Mashahidi, wao pia ni Mujahidina katika njia ya Mwenyezi Mungu
Nov 29, 2024 04:18Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kwa kusema: "mimi ninawaona wale wote wanaofanya kazi ya kuhuisha kumbukumbu za Mujahidina na Mashahidi kuwa ni Mujahidina katika njia ya Mwenyezi Mungu; yaani hii yenyewe ni Jihadi katika njia ya Mwenyezi Mungu".
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la kuongezwa uwezo wa kijeshi wa nchi
Nov 28, 2024 09:40Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema, kuongeza utayari na uwezo wa kivita ndilo jukumu muhimu zaidi la vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran yawataka wasomi wa Kiislamu kuzuia dhulma dhidi ya Waislamu huko Palestina na Lebanon
Nov 28, 2024 07:57Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amewataka wanazuoni wa Ulimwengu wa Kiislamu kuwatetea watu wanaodhulumiwa na Waislamu kote duniani, na pia kuchukua maamuzi ya kijasiri ya kusitisha ukatili na jinai zinazofanyika katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.
-
Mkuu wa IRGC: Lebanon imepata 'ushindi wa kimkakati, na Israel imembulia fedheha
Nov 28, 2024 07:56Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) ameipongeza Lebanon na harakati yake ya Muqawama, Hizbullah kwa kufanikiwa kusimamisha vita vya Israel, na kuutaja kuwa ni "ushindi wa kimkakati kwa Hizbullah na wa kufedhehesha" kwa utawala ghasibu wa Israel.
-
Hizbullah yaishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa himaya yake ya pande zote
Nov 28, 2024 07:56Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imemshukuru Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kutokana na himaya yake na hatua za kidiplomasia za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran za kusimamisha vita nchini Lebanon.
-
Kiongozi Muadhamu: Hatima ya Israel ni kuondoka Asia Magharibi
Nov 28, 2024 04:01Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unaelekea kuondoka katika eneo la Asia Magharibi na kusisitiza kuwa, operesheni zinazoendelea za harakati za muqawama dhidi ya Israel haziwezi kusitishwa.