-
Iran yapanua diplomasia ya utalii katika mkutano wa Riyadh
Nov 09, 2025 22:52Waziri wa Utalii wa Iran Sayyid Reza Salehi-Amiri jana Jumapili alikutana na kuzungumza kwa nyakati tofauti mjini Riyadh, Saudi Arabia na maafisa wa ngazi ya juu wa nchi kadhaa, wakiwemo maafisa kutoka Indonesia, China, India, Iraq, Tajikistan, Armenia, na Uzbekistan kujadili njia za kupanua ushirikiano wa pande mbili katika sekta ya utalii.
-
Qalibaf: Marekani lazima ikubali matokeo ya uchokozi wake wa wazi dhidi ya Iran
Nov 09, 2025 08:20Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, anasema Marekani lazima ikabiliane na matokeo ya kisheria na kisiasa ya kitendo chake cha uchokozi mbaya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, mapema mwaka huu.
-
Iran iko tayari kwa mchakato wa kuzalisha ndege za abiria ilizojibunia yenyewe
Nov 09, 2025 00:00Mkuu wa Shirika la Usafiri wa Anga la Iran amesema kuwa, baada ya kubuni na kutengeneza ndege ya mizigo, sasa wataalamu wa Iran wako katika mchakato wa kubuni na kuzalisha kwa wingi ndege za abiria.
-
Ni nini takwa la Tehran baada ya Trump kukiri kuhusika Marekani katika mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran?
Nov 08, 2025 08:11Rais wa Marekani, Donald Trump, amekiri kuwa alikuwa na mchango katika mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran.
-
Iran yautaka Umoja wa Mataifa kurekodi kukiri Trump kuhusika Marekani katika uvamizi dhidi ya Iran
Nov 08, 2025 07:09Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameitaka taasisi hiyo ya kimataifa kusajili tamko la Trump la kukiri kuhusika moja kwa moja Marekani katika uchokozi na uvamizi wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Juni mwaka huu.
-
Iran: Madai ya njama ya kumuua balozi wa Israel huko Mexico ni 'uongo mkubwa', Mexico pia yakadhibisha
Nov 08, 2025 04:29Iran imekadhibisha vikali madai yaliyotolewa na Marekani na Israel kwamba Jamhuri ya Kiislamu ilikuwa na mipango ya kumuua balozi wa Israel nchini Mexico, ikiyataja madai hayo kuwa ni "uongo mkubwa."
-
Kauli ya Trump inathibitisha Marekani ilishirikiana na Israel moja kwa moja kuishambulia Iran
Nov 08, 2025 01:23Iran imesema kuwa Marekani ilihusika moja kwa moja katika uvamizi wa utawala wa Israel dhidi yake mnamo mwezi Juni, ikinukuu kauli za hivi karibuni za Rais Donald Trump wa Marekani, kama ushahidi wa wazi wa ushiriki wa Washington katika kitendo hicho cha uchokozi.
-
Qalibaf: Mataifa ya Kiislamu ‘yanapaswa kutumia nguvu’ dhidi ya Israel
Nov 08, 2025 00:36Mohammad Bagher Qalibaf Spika wa Majlisi ya ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa nchi za Kiislamu "zinapasa kutumia nguvu" dhidi ya utawala wa Israel na kuonya kuwa diplomasia pekee haitazuia vitendo vya uchokozi vya Israel.
-
Rais Pezeshkian: Migawanyiko na mifarakano baina ya Waislamu inaunufaisha Uzayuni wa dunia
Nov 07, 2025 08:22Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, migawanyiko na mifarakano baina ya Waislamu ndilo jambo hasa wanalolitamani maadui wa Uislamu.
-
Baghaei: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Wairani ni jinai dhidi ya ubinadamu
Nov 07, 2025 03:24Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya Wairani ni jinai dhidi ya ubinadamu.