-
Taasisi za Kiislamu zaonya kuhusu njama ya Marekani dhidi ya Nigeria
Dec 14, 2025 03:39Taasisi za Kiislamu nchini Nigeria zimetangaza kuwa, hatua ya tume ya kutafuta ukweli ya bunge la Marekani ya kuandaa ripoti ya upande mmoja kuhusu mizozo ya kikabila katika nchi hiyo ya Kiafrika ni ya kuzusha mifarakano.
-
Pezeshkian: BRICS inatoa fursa ya ushirikiano imara zaidi wa wanachama
Dec 13, 2025 23:23Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameashiria nafasi na uwezo wa kundi la BRICS na kulieleza kama jukwaa muhimu la kuimarisha maingiliano na uhusiano wa kiuchumi na kisiasa miongoni mwa nchi wanachama.
-
UN yalaani shambulio lililoua askari 6 wa kulinda amani Sudan
Dec 13, 2025 23:06Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres ameeleza kusikitishwa na shambulio la ndege isiyo na rubani lililolenga kituo cha Umoja wa Mataifa nchini Sudan, na kuwaua askari sita wa kulinda amani wa umoja huo.
-
Captain Ibrahim Traoré: Burkina Faso imekuwa mfano wa kuigwa na mataifa ya bara la Afrika
Dec 13, 2025 22:39Rais wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traoré, amepongeza mafanikio liliyopata jeshi hivi karibuni ya kukomboa maeneo kadhaa na kusisitiza kwamba, nchi hiyo sasa imekuwa kigezo na mfano kwa mataifa ya bara la Afrika.
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah: Marekani itambue kwamba katu hatutaweka chini silaha zetu
Dec 13, 2025 22:38Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, serikali ina wajibu wa kufanya juhudi za kuzatiti mamlaka ya kujitawala na uhuru wa Lebanon, na Muqawamwa kwa upande wake umeisaidia kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano.
-
Waguinea Bissau waandamana kulaani mapinduzi, viongozi wa kanda wakutana kutafuta suluhisho
Dec 13, 2025 22:37Mamia kadhaa ya watu wameingia barabarani katika mji mkuu wa Guinea-Bissau, Bissau kupinga mapinduzi ya kijeshi ya mwezi uliopita viongozi wa upinzani wanaoshikiliwa waachiliwe huru, huku viongozi wa kikanda wakijiandaa kukutana leo Jumapili kujadili namna ya kuupatia suluhisho mgogoro huo.
-
Azimio jipya la Baraza Kuu la UN; Msimamo wa kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni
Dec 13, 2025 22:36Sambamba na Israel kukiuka usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio jipya linaloitaka Tel Aviv kutekeleza uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kuhusu eneo hilo la Palestina.
-
Khatibzadeh: Uhusiano wa Iran na China mkamilishaji wa mfumo mpya wa kimataifa
Dec 13, 2025 08:11Saeed Khatibzadeh, Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kisiasa na Kimataifa ameutaja uhusiano wa Iran na China uliojengeka juu ya msingi wa chaguo la maslahi ya pamoja.
-
Albanese: Israel na waungaji mkono wake wakuu inawapasa wagharamie ujenzi mpya wa Ghaza
Dec 13, 2025 08:06Francesca Albanese, Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu amesema, Israel na Marekani pamoja na nchi zingine ambazo zilikuwa wasambazaji wakuu wa silaha kwa utawala huo, zinapaswa kugharimia ujenzi mpya wa eneo la Ukanda wa Ghaza.
-
Ukosoaji waongezeka kuhusu afya ya Trump baada ya kuonekana mchovu hadharani
Dec 13, 2025 07:48Mjadala kuhusu afya ya Rais wa Marekani Donald Trump umechacha upya baada ya matukio kadhaa ya hadharani ambapo alionekana mchovu au kusinzia, hali iliyozua maswali mapya kuhusu uwezo wake kiafya katika umri wake wa miaka 79.