-
Wataalamu: Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu Gaza ni la kuwakoloni Wapalestina
Nov 19, 2025 23:29Azimio jipya la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC), linaloruhusu kile kinachoitwa kikosi cha kimataifa kutumia “mbinu zozote zinazohitajika kutekeleza wajibu wake” katika Ukanda wa Gaza limeelezwa na wataalamu kama sura nyingine ya “ukoloni” katika historia ya Palestina.
-
Wapalestina wa Gaza waelezea safari yao ya siri kuelekea Afrika Kusini katika njama iliyotekelezwa na Israel
Nov 19, 2025 23:27Wapalestina walioondoka Gaza hivi karibuni kupitia njia fiche ya uhamishaji inayodaiwa kuunganishwa na ofisi ya wizara ya vita ya Israel wanasema walipelekwa nje ya eneo hilo linalokumbwa na vita bila taarifa, hati, au hata kuelewa walikokuwa wanaelekezwa.
-
Maafisa wawili wa Kenya wauawa katika hujuma ya magaidi wa al-Shabaab karibu na mpaka wa Somalia
Nov 19, 2025 23:27Maafisa wawili wa Kitengo cha Ulinzi wa Mpaka cha Kenya wameuawa Jumatano baada ya gari lao kukanyaga bomu la kutegwa ardhini (IED) lililowekwa na magaidi wakufurishaji wa al-Shabaab kutoka Somalia katika barabara ya Liboi kuelekea Kulan, kaskazini mwa Kenya.
-
Eswatini ilipokea hongo ya dola milioni 5 kutoka Marekani ili kukubali wahamiaji waliotimuliwa
Nov 19, 2025 23:26Eswatini imethibitisha kupokea dola milioni 5.1 kutoka Washington kama sehemu ya makubaliano ya kupokea wahamiaji waliofukuzwa Marekani licha ya kutokuwa na uhusiano wowote na taifa hilo la kusini mwa Afrika.
-
Kwa nini hati ya makubaliano ya kijeshi kati ya India na utawala wa Kizayuni ni hatua ya kuleta ukosefu wa utulivu Asia?
Nov 19, 2025 23:23India na utawala wa Kizayuni wa Israel zimepanua ushirikiano wao wa kijeshi na kiviwanda kwa kutiliana saini hati mpya ya maelewano na ushirikiano.
-
Waislamu wahanga wa siasa za chuki katika nchi za Magharibi; uhuru na usawa ni kaulimbiu tu
Nov 19, 2025 09:20Chuki dhidi ya Uislamu nchini Uingereza imezidi kuwa mbaya zaidi, huku Tume ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya Uingereza ikionya kuhusu matokeo ya kuendeleza hali hii.
-
Iran: Azimio la Marekani lililopasishwa na UN kuhusu Gaza linahalalisha ukaliaji mabavu
Nov 19, 2025 09:16Iran imekosoa azimio lililoandaliwa na Marekani na kupasishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linaloweka utaratibu wa kutumwa Gaza usimamizi wa nchi ajinabi na kutahadharisha kuwa azimio hilo linadhoofisha haki za msingi za watu wa Palestina.
-
Katibu Mkuu wa UN: Ugaidi katika eneo la Sahel ni tishio linaloongezeka
Nov 19, 2025 09:05Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewatahadharisha viongozi duniani kwamba ugaidi katika eneo la Sahel barani Afrika ni tishio linaloongezeka duniani.
-
Kampuni ya silaha ya Israel ya Elbit imeingiza mapato makubwa wakati wa mauaji ya kimbari ya Gaza
Nov 19, 2025 09:00Kampuni ya Israel inayoongoza kwa utengenezaji wa silaha, Elbit Systems, imetangaza ongezeko kubwa la faida iliyopatikana katika muda wa robo mwaka kufuatia miezi kadhaa ya ushiriki wa kampuni hiyo katika mauaji ya halaiki ya Israel huko Gaza kupitia utoaji silaha, zana za kijeshi na mifumo ya ufuatiliaji, huku ikipata mikataba mipya barani Ulaya.
-
Rais wa Nigeria athibitisha kuuawa afisa wa ngazi ya juu wa jeshi
Nov 19, 2025 08:54Rais wa Nigeria amethibitisha kuwa Brigedia jenerali Musa Uba ameuawa na kundi la kigaidi akiwa matekani. Mauaji hayo yamefanywa siku chache baada ya afisa huyo wa ngazi ya juu wa jeshi la Nigeria kutekwa nyara na wanamgambo wa kundi la ISWAP kufuatia shambulio la kuvizia kaskazini mashariki mwa Jimbo la Borno ambalo pia liliwaua wanajeshi wanne.