-
Watu 22 wauawa katika shambulio la RSF katika hospitali ya kijeshi Kordofan Kusini
Feb 05, 2026 22:59Watu wasiopungua 22 wakiwemo wahudumu 4 wa sekta ya afya wameuawa na wengine wawane kujeruhiwa baada ya wanangambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) jana kuishambulia hospitali ya jeshi ya al Kuweik katika jimbo la Kordofan Kusini nchini Sudan.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil: Uanzishwe mfumo mpya wa kimataifa kupitia marekebisho ya Umoja wa Mataifa
Feb 05, 2026 22:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil, Mauro Vieira, amesisitiza haja ya kuanzishwa mfumo mpya wa kimataifa unaotegemea marekebisho ya mashirika ya kimataifa yaliyopo, ikiwa ni pamoja na Umoja wa Mataifa, Baraza la Usalama la umoja huo na Shirika la Biashara Duniani.
-
UN: ISIS inasasisha mbinu zake na kuzidisha vitishio tangu katikati ya 2025
Feb 05, 2026 22:56Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu kile ulichokielezea kama ongezeko la vitishio vya kundi la Daesh (ISIS) tangu katikati ya mwaka jana, ukieleza kuwa kundi hilo limekuwa "tata zaidi".
-
Alfajiri Kumi- Sekta ya afya ya Iran kabla na baada ya Mapinduzi
Feb 05, 2026 11:20Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu nyingine ya vipindi maalumu vinavyokujieni kwa mnasaba wa siku hizi za maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran. Kipindi chetu kinazungumzia mafanikio ya Jamhuri ya Kiislamu katika sekta ya afya na ustawi wa jamii.
-
Utafiti: Pombe, Sigara vinachangia ongezeko la ugonjwa wa saratani Kenya
Feb 05, 2026 09:17Shirika la habari za afya la Willow limetangaza kuuwa, vidonda vya tumbo, uvutaji wa sigara, na matumizi ya pombe vinachangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa ugonjwa wa saratani nchini Kenya.
-
Russia: Tunataraji Marekani itatumia akili na busara kuhusiana na kadhia ya Iran
Feb 05, 2026 08:11Vassily Nebenzya, mwakilishi wa kudumu Russia katika Umoja wa Mataifa amesem kuwa, Moscow inatumai kwamba Marekani itatumia akili na busara kuhusiana na kadhia ya Iran.
-
Rais wa Uturuki akosoa vikali hatua ya Israel ya kuitambua Somaliland
Feb 05, 2026 08:10Rais Recep Tayyip Erdogani wa Uturuki amekosoa vikali hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupuuza mamlaka ya kujitawala Somalia kwa kutambua jimbo lililojitenga na Somalia la Somaliland kama nchi huru.
-
Human Rights Watch: Israel inafanya mauaji ya halaiki Ukanda wa Gaza
Feb 05, 2026 08:09Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, utawala wa Israel unafanya mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza, Palestina.
-
OCHA: DRC inakabiliwa na tishio la mgogoro mkubwa wa kibinadamu
Feb 05, 2026 08:09Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imeonya kuhusiana na mgogoro wa kutisha wa kibinadamu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Lengo jipya la mkakati wa kijeshi wa Marekani barani Afrika
Feb 05, 2026 03:38Kamandi ya Marekani barani Afrika (AFRICOM) imetangaza kupeleka kikosi kidogo cha kijeshi cha Marekani nchini Nigeria na hivyo kwa mara ya kwanza kukiri rasmi kutumwa wanajeshi wa Marekani katika nchi hiyo ya Afrika.