-
OIC yalaani hatua ya Marekani kuzuia azma ya Palestina kuwa mwanachama kamili wa UN
Apr 19, 2024 23:29Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani hatua ya Marekani ya kuzuia ombi la Palestina la kutaka uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa, huku Israel ikiendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza kwa msaada wa baadhi ya nchi za Magharibi hususan Marekani.
-
Mashtaka ya Saudia dhidi ya Imarati, hatua ya aina yake katika uhusiano wa nchi mbili
Apr 19, 2024 23:12Saudi Arabia imewasilisha malalamiko dhidi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kutokana na mzozo wa mpaka.
-
Kupingwa njama za Netanyahu za kutaka kususiwa shughuli za UNRWA ndani ya Baraza la Usalama
Apr 19, 2024 11:57Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limefanya kikao kujadili shughuli za Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) kufutia maombi ya Algeria na Jordan.
-
Waziri wa Israel: Mashambulizi ya Iran yameharibu kambi mbili kuu za jeshi; akejeli taarifa za Israel kushambulia Iran + Video
Apr 19, 2024 06:53Waziri wa Usalama wa Ndani ya serikali ya Benjamin Netayahu amekiri kwamba shambulio la kulipiza kisasi la Iran dhidi ya Israel limesababisha hasara kubwa za kijeshi kwa utawala wa Kizayuni na wakati huo huo ameziita taarifa zilizodai kuwa utawala wa Kizayuni umefanya shambulizi ndani ya Iran leo Ijumaa kuwa ni istihzai.
-
Utawala wa Kizayuni una hofu ya kutolewa waranti wa kumkamata Netanyahu
Apr 19, 2024 03:59Baraza la Mawaziri la utawala wa Kizayuni limefanya kikao cha dharura kuchunguza uwezekano wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kutoa waranti wa kukamatwa Benjamin Netanyahu na maafisa wengine wa utawala huo dhalimu wa Israel kwa kuhusika na mauaji ya kimbari ya Wapalestina huko Ghaza.
-
UN: Israel inaendeleza vikwazo haramu vya misaada kwa watu wa Gaza
Apr 18, 2024 07:30Msemaji na Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa utawala haramu wa Israel unaendeleza vikwazo visivyo halali vya katika uwanja wa kupeleka misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza.
-
Shambulio la makombora la Hizbullah lajeruhi askari 14 wa Israel, sita wako mahututi
Apr 18, 2024 03:38Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa imehusika na shambulio lililolenga kituo cha kijeshi kaskazini mwa 'Israel' na kuwajeruhi wanajeshi wasiopungua 14, na kusema, shambulio hilo limefanywa kulipiza kisasi cha mashambulizi ya utawala wa Kizayuni yaliyoua wanachama wa harakati hiyo ya Muqawama wa Kiislamu.
-
Mkuu wa UNRWA alaumu vikali hila ya Israel ya kutaka shirika hilo la kusaidia Wapalestina livunjwe
Apr 18, 2024 02:51Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na kuwasaidia Wapalestina, UNRWA, Philippe Lazzarini amelaumu vikali kampeni ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kulisambaratisha shirika hilo.
-
Utawala wa Kizayuni wazidi kutengwa kimataifa
Apr 18, 2024 00:58Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika katika ripoti yake kuwa Israel inaendelea kutengwa pakubwa duniani kote.
-
Watoto elfu 19 wa Kipalestina wamekuwa mayatima kutokana na jinai za Israel Ukanda wa Gaza
Apr 18, 2024 00:54Watoto 19,000 wa Kipalestina wamekuwa mayatima kufuatia jinai za kinyama za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.