• Jumanne 20 Novemba 2018

    Jumanne 20 Novemba 2018

    Nov 20, 2018 03:41

    leo ni Jumanne 12 Rabiul Awwal 1440 Hijria sawa na tarehe 20 Novemba 2018.

  • Jumapili Novemba 18

    Jumapili Novemba 18

    Nov 18, 2018 02:46

    Leo ni Jumapili tarehe 10 Mfungo Sita Rabiul-Awwal 1440 Hijiria, sawa na tarehe 18 Novemba 2018 Miladia.

  • Khadija al-Kubra; johari inayong’ara katika nyumba ya Bwana Mtume SAW

    Khadija al-Kubra; johari inayong’ara katika nyumba ya Bwana Mtume SAW

    Nov 17, 2018 12:57

    Assalamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kukumbusha siku ya kufunga ndoa Bwana Mtume SAW na Bibi Khadija binti Khuwaylid AS.

  • Waislamu wahimizwa kusherehekea kwa amani na mapenzi Maulidi ya Mtume + Sauti

    Waislamu wahimizwa kusherehekea kwa amani na mapenzi Maulidi ya Mtume + Sauti

    Nov 16, 2018 06:50

    Mkurugenzi wa Kitengo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania Bw. Ali Bagheri amesema kuwa, maadhimisho ya Maulidi na kuzaliwa Mtume Muhammad SAW kunaleta mapenzi kwa Waislamu wote, hivyo waitumie fursa hiyo kuimarisha udugu wao. Amari Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam

  • Adhama ya Maulidi (Kuzaliwa) ya Mtume Muhammad SAW

    Adhama ya Maulidi (Kuzaliwa) ya Mtume Muhammad SAW

    Nov 13, 2018 08:46

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Kama mnavyojua, tumo ndani ya Mfunguo Sita, mwezi ambao alizaliwa Bwana wetu Muhammad SAW. Leo katika dakika hizi chache, tutazungumzia adhama ya kuzaliwa mtukufu huyo tukiwa na matumaini mtakuwa nasi hadi mwisho wa maelezo haya mafupi.

  • Haki za wazazi wawili kwa mujibu wa hadithi za Bwana Mtume SAW + Sauti

    Haki za wazazi wawili kwa mujibu wa hadithi za Bwana Mtume SAW + Sauti

    Nov 06, 2018 09:40

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Hivi sasa tumo katika maombolezo na huzuni kubwa ya kukumbuka kufariki dunia kipenzi chetu na ruwaza yetu njema, Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad al Mustafa SAW ambaye hakuna kiumbe yeyote bora kuliko yeye na ambaye aliaga dunia katika siku ya mwisho ya mwezi wa Mfunguo Tano Safar mwaka wa 11 Hijiria katika mji mtakatifu wa Madina akiwa na umri wa miaka 63 na kuzikwa katika mji huohuo.

  • Kipindi maalumu kwa mnasaba wa kukumbuka alipofariki dunia Mtume (saw) + Kasida

    Kipindi maalumu kwa mnasaba wa kukumbuka alipofariki dunia Mtume (saw) + Kasida

    Nov 05, 2018 02:43

    Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad (saw) aliaga dunia tarehe 28 Swafar mwaka wa 11 Hijiria katika mji mtakatifu wa Madina akiwa na umri wa miaka 63 na kuzikwa katika mji huohuo.

  • Ruwaza Njema (8)

    Ruwaza Njema (8)

    Nov 03, 2018 13:05

    (Kumfuata al-Mustafa (saw) katika maneno na kimya chake)

  • Ruwaza Njema (7)

    Ruwaza Njema (7)

    Nov 03, 2018 13:02

    (Kumfuata al-Mustafa (saw) katika maneno na kimya chake)