Waziri wa Fedha Uganda matatani + Sauti
Feb 07, 2018 15:24 UTC
Waziri wa Fedha, Mipango na Maendeleo ya Uchumi wa Uganda anakabiliwa na tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka. Maelezo zaidi yamo katika ripoti ya mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail
Tags