Kongamano la Kiislamu Kampala lawahimiza Waislamu kupendana + Sauti
Feb 11, 2018 03:23 UTC
Walimwengu wa leo wanajijazia ugumu wenyewe kwa kuacha kufuata mafundisho matukufu ya Mwenyezi Mungu ikiwa ni pamoja na kuacha kupenda, kinyume kabisa na mafundisho ya Uislamu. Hayo yamesemwa katika kongamano maalumu la Waislamu lililofanyika mjini Kampala Uganda. Mwandishi wetu Kigozi Ismail ametuandalia ripoti ifuatayo:
Tags