Ziara ya wabunge wa Afrika Mashariki nchini Burundi + Sauti
Feb 19, 2018 14:43 UTC
Wabunge kadhaa wa Jumui ya Afrika Mashariki wamefanya ziara ya kutembelea maeneo tofauti ya Burundi kama sehemu ya juhudi za kuimarisha uchumi wa nchi za ukanda huo. Mwandishi wa Radio Tehran jijini Bujumbura, Hamida Issa na maelezo zaidi...
Tags