Madaktari wanajeshi wa EAC wakutana Kigali + Sauti
Feb 19, 2018 14:48 UTC
Wanajeshi madaktari kutoka wizara za ulinzi kwenye mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wamekutana mjini Kigali kujadili changamoto za afya na huduma ya matibabu kwenye majeshi ya nchi zote za jumuiya ya Afrika mashariki Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivaus Karemera anaripoti zaidi
Tags