Madaktari wanajeshi wa EAC wakutana Kigali + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i40607-madaktari_wanajeshi_wa_eac_wakutana_kigali_sauti
Wanajeshi madaktari kutoka wizara za ulinzi kwenye mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wamekutana mjini Kigali kujadili changamoto za afya na huduma ya matibabu kwenye majeshi ya nchi zote za jumuiya ya Afrika mashariki Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivaus Karemera anaripoti zaidi
(last modified 2026-01-14T08:12:18+00:00 )
Feb 19, 2018 14:48 UTC

Wanajeshi madaktari kutoka wizara za ulinzi kwenye mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wamekutana mjini Kigali kujadili changamoto za afya na huduma ya matibabu kwenye majeshi ya nchi zote za jumuiya ya Afrika mashariki Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivaus Karemera anaripoti zaidi