Utitiri wa makanisa nchini Rwanda wawachosha wananchi
Feb 21, 2018 02:15 UTC
Wananchi wa matabaka mbalimbali na wa dini tofauti nchini Rwanda wamelalamikia ujenzi mkubwa wa kiholela wa makanisa nchini humo ambao wanasema umewachosha hususan kutokana na vipaza sauti vinavyotumiwa na makanisha hayo katika makazi ya raia. Mwandishi wa Radio Tehran, Sylvanus Karemera, ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo...
Tags