Mbunge "tapeli" arejeshwa Uganda baada ya kukamatwa akifanya utapeli Botswana + Sauti
Mar 03, 2018 14:30 UTC
Nchini Uganda, mbunge wa zamani wa eneo la Bubulo Magharibi, Tony Nsubuga Kipoi aliyekuwa mafichoni nje ya nchi, amerejeshwa Uganda baada ya kukamatwa nchini Botswana kwa tuhuma za utapeli
Tags