Wanaharakati waliotoweka katika mazingira ya kutatanisha Zanzibar warejea makwao + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i41179-wanaharakati_waliotoweka_katika_mazingira_ya_kutatanisha_zanzibar_warejea_makwao_sauti
Wanaharakati wanne wa Kiislamu waliopotea katika mazingira ya kutatanisha tokea tarehe 9 ya mwezi uliopita wa Februaria huko visiwani Zanzibar leo wamerejea katika familia zao baada ya kuwekwa kizuizini na watu wasiojulikana. Mwandishi wetu wa Zanzibar Harith Subeit ametutumia ripoti maalumu kuhusu suala hilo…
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Mar 04, 2018 14:38 UTC

Wanaharakati wanne wa Kiislamu waliopotea katika mazingira ya kutatanisha tokea tarehe 9 ya mwezi uliopita wa Februaria huko visiwani Zanzibar leo wamerejea katika familia zao baada ya kuwekwa kizuizini na watu wasiojulikana. Mwandishi wetu wa Zanzibar Harith Subeit ametutumia ripoti maalumu kuhusu suala hilo…