Mwito wa Unicef kwa Wizara ya Afya ya Ugada + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i41916-mwito_wa_unicef_kwa_wizara_ya_afya_ya_ugada_sauti
Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limeitaka Wizara ya Afya ya Uganda kuishinikiza Hazina ya Taifa ya nchi hiyo ii itoea fedha kunusuru akina mama nchini humo. Mwandishi wa Radio Tehran, Kigozi Ismail ametuandalia ripoti maalumu kuhusu mwito huo...
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Mar 20, 2018 03:03 UTC

Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limeitaka Wizara ya Afya ya Uganda kuishinikiza Hazina ya Taifa ya nchi hiyo ii itoea fedha kunusuru akina mama nchini humo. Mwandishi wa Radio Tehran, Kigozi Ismail ametuandalia ripoti maalumu kuhusu mwito huo...

Image Caption