Rais Yoweri Museveni alalamikia itikadi mbovu za kikabila barani Afrika + Sauti
Mar 28, 2018 13:57 UTC
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema kuwa matatizo mengi yanayoliathiri bara la Afrika yanasababishwa na itikadi mbovu kama ubaguzi wa kikabila. Mwandishi wetu wa Kampala Kigozi Ismail ametuandalia taarifa ifuatayo.
Tags