-
Wananchi wa Uganda wanapiga kura leo, Museveni atarajiwa kuendelea kutawala
Jan 15, 2026 00:42Wananchi wa Uganda waliotimiza masharti ya kupiga kura, leo wanaelekea katika vituo vya kupigia kura kuamua hatiam ya uongozi wa nchi hiyo kwa miaka mingine mitano.
-
Indhari ya Hamas kuhusu hali mbaya ya kibinadamu Gaza
Jan 14, 2026 23:08Baada ya kufariki kwa idadi ya watoto wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza kutokana na baridi kali, Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombzoi wa Palestina, Hamas, imeonya kuhusu kuzidi kuzorota kwa hali ya kibinadamu katika eneo hilo ambalo liko chini ya mzingiro wa utawala katili wa Israel.
-
Mahakama ya Tunisia yaidhinisha kifungo cha miaka 22 dhidi ya kiongozi wa Ennahda, Ghannouchi
Jan 14, 2026 23:07Mahakama ya rufaa nchini Tunisia siku ya Jumatano imethibitisha kifungo cha miaka 22 jela dhidi ya Rached Ghannouchi, kiongozi wa Harakati ya Ennahda na aliyekuwa Spika wa Bunge, katika kesi maarufu ya Instalingo.
-
Uganda: Serikali yazima mtandao wa intaneti siku moja kabla ya uchaguzi mkuu
Jan 14, 2026 07:24Serikali ya Uganda imezima mtandao wa intaneti siku moja kabla ya kuelekea uchaguzi mkuu wa hapo kesho, uchaguzi ambao Rais Yoweri Museveni anataka kuchaguliwa kwa muhula wa saba.
-
Afrika yakosoa hatua ya Trump ya kuiondoa US katika taasisi za kimataifa
Jan 14, 2026 03:15Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU), Mahmoud Ali Youssouf ametoa wito wa kuimarishwa mifumo ya pande nyingi ili kushughulikia changamoto za kimataifa, siku chache baada ya Marekani kuchukua uamuzi wa upande mmoja wa kujiondoa katika taasisi mbalimbali za kimataifa.
-
Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 17 wa al-Shabaab
Jan 14, 2026 02:56Wizara ya Ulinzi wa Somalia imesema kwamba, Jeshi la Kitaifa la nchi hiyo limewaua magaidi 17 wa al-Shabaab katika operesheni ya anga iliiyofanyika kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Misri 'yakaribisha' kuwekwa Ikhwani katika orodha ya magaidi ya US
Jan 14, 2026 02:52Serikali ya Misri imepongeza hatua ya Marekani ya kuitambua rasmi Harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul Muslimin kuwa ni shirika la kigaidi.
-
Maporomoko ya udongo mashariki mwa Kongo yauwa takriban watu 13
Jan 13, 2026 23:37Takriban watu 13 wamepoteza maisha kufuatia maporomoko ya udongo yaliyotokea mashariki mwa Kongo mapema jana Jumanne. Watu wengien zaidi ya 30 hawajulikani waliko hadi sasa.
-
Uganda yaamuru mashirika ya haki kusitisha shughuli zao
Jan 13, 2026 23:10Uganda imeamuru mashirika mawili ya haki kusitisha shughuli zao, siku moja kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu ambao Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu imeutaja kuwa unafanyika katika mazingira ya ukandamizaji na vitisho.
-
Somalia yaitaka Israel kubatilisha mara moja uamuzi wake wa kuitambua Somaliland
Jan 13, 2026 23:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Somalia ameitaja hatua ya utawala ghasibu wa Israel ya kulitambua eneo la Somaliland kuwa ni ukiukaji wa wazi wa mamlaka ya nchi yake.