-
Msemaji wa Majeshi ya Iran: US inawatumia watu wa Asia Magharibi kama ngao
Mar 10, 2026 13:38Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran, Brigedia Jenerali Abolfazl Shekarchi amesema baadhi ya makamanda na wanajesh wa Marekani wanawatumia raia wa eneo la Asia Magharibi kama ngao za binadamu vitani.
-
Onyo la Larijani kufuatia vitisho hewa vya Trump dhidi ya wananchi wa Iran
Mar 10, 2026 13:11Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametoa onyo kali akijibu vitisho vipya vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani vya kuwashambulia na kuwaua wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Qalibaf: Hatufuatilii kusimamisha vita/kujitanua utawala wa Kizayuni kutasambaratishwa
Mar 10, 2026 10:39Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitiza kuwa mchokozi anapaswa kumtwangwa ngumi mdomoni ili apate somo na asithubutu kufikiria tena kuivamia Iran.
-
Araqchi: Tel Aviv na Washington zinabeba dhima ya janga la kiuchumi nchini Marekani
Mar 10, 2026 10:38Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa wanaobeba dhima ya moja kwa moja ya janga la kiuchumi nchini Marekani ni Israel na waungaji mkono wake huko Washington.
-
Uchokozi wa Marekani dhidi ya Iran unatokana na tamaa ya kupora rasilimali za nishati na kushindana na China
Mar 10, 2026 06:27Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, ameashiria hatua za uchokozi za Marekani katika sehemu mbalimbali za dunia, ikiwa ni pamoja na shambulio dhidi ya Iran na kusema kuwa hatua zote kama hizo zinatokana na tamaa ya Marekani ya kudhibiti na kupora rasilimali za nishati na kushindana na China.
-
Operesheni Ahadi ya Kweli 4, Wimbi la 33: Makombora yote ya Iran ya “Kheibar Shekan” yapiga malengo yao
Mar 10, 2026 06:19Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuanza kwa wimbi la thelathini na tatu la Operesheni Ahadi ya Kweli 4, ambapo makombora yote yenye mwongozo wa usahihi ya aina ya “Kheibar Shekan” yalifanikiwa kupiga malengo yaliyokusudiwa.
-
Msemaji wa IRGC: Majibu ya Iran yamemtia kiwewe Donald Trump
Mar 10, 2026 04:14Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amejibu upuuzi na uongo wa Rais Donald Trump wa Marekani akisema: "Rais muongo wa Marekani ametoa madai ya kumaliza nguvu ya vikosi vya jeshi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ili kujaribu kukwepa mashinikizo ya vita na kukomesha hali ya kukata tamaa wanajeshi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi."
-
Rais wa Iran: Kupunguza mvutano katika eneo kunahitaji kutounga mkono wavamizi
Mar 10, 2026 03:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba juhudi za wale walioanzisha uchokozi dhidi ya Iran zimekuwa zikilenga kupandikiza mifarakano kati ya mataifa jirani. Amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imeonyesha utayari wake wa kupunguza mvutano katika eneo hili, mradi tu anga, ardhi na maji ya mataifa jirani yasitumike kama njia ya kushambulia watu wa Iran.
-
Ayatullah Mojtaba Khamenei ni nani?
Mar 09, 2026 08:52Miongoni mwa maswali muhimu yanayoulizwa sana wakati huu kuhusu Iran ni kwamba, Ayatullah Mojtaba Husseini Khamenei ni nani? Na kwa nini Baraza la Wataalamu limemchagua kuongoza Iran? Ili kuelewa chaguo hili, lazima kwanza tuangalie utaratibu wa kisheria wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Araghchi: Trump amekiri kutenda jinai kwa kutishia kuwaua Wairani
Mar 09, 2026 07:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema vitisho vipya vilivyotolewa na Rais Donald Trump vya kuwashambulia na kuwaua wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ni kukiri wazi wazi kwa kiongozi huyo wa Marekani juu ya kufanya jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu.