-
Kuendelea kupiga kambi kwa nguvu na satua msafara wa Manowari za Jeshi la Wanamaji la Iran katika maji ya kimataifa
Feb 25, 2025 00:34Admirali Shahram Irani, Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa Msafara wa Manowari Nambari 5 za jeshi hilo umepiga kambi katika eneo la maji ya kimataifa.
-
Araqchi: Silaha za nyuklia za Israel ni tishio na hatari kwa dunia
Feb 24, 2025 23:01Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa jamii ya kimataifa inapasa kuushinikiza utawala wa Israel kujiunga na Mkataba Unaozuia Uzalishaji na Usambazaji wa Silaha za Nyuklia (NPT) ili shughuli zake za nyuklia ziwe chini ya usimamizi na ukaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA).
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Sayyed Nasrullah ni kielelezo cha ushujaa na muqawama
Feb 24, 2025 03:45Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Meja Jenerali Aziz Nasirzadeh, amesema kuwa, Katibu Mkuu wa Hizbullah, Shahidi Sayyed Hassan Nasrullah, alionyesha kielelezo cha kuigwa cha ushujaa na imani katika njia ya muqawama ambayo aliifuata.
-
Spika wa Bunge la Iran: Trump anataka kuwahamisha watu wa Gaza na kupora ardhi ya Palestina
Feb 24, 2025 03:44Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kutaka kuwahamisha kwa nguvu watu wa Gaza na kupora ardhi ya Palestina na kubainisha kwamba, mpango huo katu haukubaliki.
-
Je, unaujua mtazamo wa Iran kuhusu uhusiano na nchi za Afrika?
Feb 23, 2025 23:39Mohammad Reza Aref, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika kikao na wakuu wa balozi za nchi za Afrika zilizopo mjini Tehran kwamba: Kukuza uhusiano wa kiuchumi na kibiashara na bara la Afrika ni moja ya vipaumbele vya siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Muqawama wa kukabiliana na ughasibu, dhulma na uistikbari si wa kumalizika
Feb 23, 2025 09:50Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma salamu na ujumbe maalumu kwa mnasaba wa kufanyika mazishi na maziko ya Mwanajihadi mkubwa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah na Shahidi Sayyid Hashim Safiyyuddin na kusisitiza kuwa: "adui ajue kwamba, Muqawama wa kukabiliana na ughasibu, dhulma na uistikbari si wa kumalizika; na kwa idhini ya Allah utaendelea hadi ufikie lengo ulilokusudia".
-
Pezeshkian: Mashahidi Nasrullah na Safiyuddin walibakia watiifu kwa viapo vyao hadi mwisho
Feb 23, 2025 04:37Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewaenzi na kuwakumbuka kwa wema Mashahidi Sayyid Hassan Nasrullah na Sayyid Hashim Safiyuddin wakati huu ambapo shughuli ya mazishi ya nguzo hizo mbili kubwa za kambi ya Muqawama ikiendelea.
-
Kiongozi Muadhamu: Maandamano dhidi ya Israel yanaashiria kuungwa mkono zaidi Palestina duniani
Feb 22, 2025 08:36Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema maandamano na mikusanyiko dhidi ya Israel barani Ulaya na Marekani inaashiria kuongezeka mshikamano wa kimataifa na taifa la Palestina.
-
Iran: Tutajikita katika kuimarisha uhusiano na mataifa ya Afrika
Feb 22, 2025 08:33Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imesisitiza kuwa, irada ya Jamhuri ya Kiislamu imeelekezwa katika kuimarisha uhusiano wake na mataifa ya Afrika.
-
Jeshi la Iran laanza Luteka ya Zulfiqar-1403 pwani ya kusini
Feb 22, 2025 08:22Vikosi tofauti vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimeanza awamu kuu ya mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Zulfiqar-1403 leo Jumamosi (Februari 22) katika pwani ya Makran, kusini mashariki, Bahari ya Oman, na kaskazini mwa Bahari ya Hindi.