-
Uhusiano wa kibiashara wa Iran na Oman wazidi kustawi
Jan 29, 2025 00:06Waziri wa Viwanda, Madini na Biashara wa Iran ametangaza habari ya kuzidi kustawi na kuimarika uhusiano wa kibiashara baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Oman.
-
Waziri wa Mambo ya Nje: Magharibi inapaswa ichukue hatua nyingi ili Iran iweze kuwa na imani nayo
Jan 28, 2025 23:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa mjibizo kwa kauli ya rais mpya wa Marekani aliyeonyesha hamu ya kufikia makubaliano na Iran, kwa kusisitiza kuwa, nchi za Magharibi zinapaswa kuchukua hatua nyingi ili kuifanya Iran iwe na imani nazo.
-
Kiongozi Mkuu: Muqawama ni dhihirisho la Mabaathi, na matunda yake ni kupigishwa magoti utawala wa Kizayuni Ghaza na Lebanon
Jan 28, 2025 09:11Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Vuguvugu la Muqawama ambalo lilianza baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu limeweza kuyaamsha mataifa ya Kiislamu na hata yasiyo ya Kiislamu kwa kutumia akili na imani na kuupigisha magoti utawala wa Kizayuni mbele ya Ghaza na Lebanon.
-
Safari ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran mjini Kabul
Jan 28, 2025 07:04Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amefanya safari yake ya kwanza rasmi mjini Kabul tangu wanamgambo wa Taliban waliporejea tena madarakani nchini Afghanistan Agosti 2021.
-
Wabunge wa Iran walaani azimio la Bunge la Ulaya dhidi ya Jamhuri ya Kislamu
Jan 28, 2025 04:30Wabunge wa Iran wamelaani vikali azimio la hivi karibuni la Bunge la Ulaya wakilitaja kuwa ni "uingiliaji kati na upendeleo" dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Imam Khamenei apongeza ujasiri wa wananchi wa Lebanon
Jan 27, 2025 09:51Akaunti rasmi ya mtandao wa kijamii wa X ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei imetuma ujumbe kufuatia kitendo cha kijasiri cha wananchi wa Lebanon kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Spika Qalibaf: Hamas ipo hai, imeidhalilisha vibaya Israel
Jan 27, 2025 09:51Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameipongeza Harakati ya Muqawama ya Hamas na vikosi vya mapambano ya Kiislamu vya Palestina kwa ushindi wao mkabala wa utawala wa Kizayuni.
-
Iran yasikitishwa na shambulio la droni lililoua 70 hospitalini Darfur, Sudan
Jan 27, 2025 08:56Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei amelaani shambulio la ndege isiyo na rubani dhidi ya hospitali moja katika mji wa El Fasher katika mkoa wa magharibi wa Darfur nchini Sudan, na kusababisha vifo vya makumi ya watu.
-
"Marekani ni aina mbaya zaidi ya Uistikbari", andiko jipya kwenye ukurasa wa X wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Jan 26, 2025 08:32Akaunti ya mtandao wa X ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya khamenei.ir imetoa mjibizo kwa lugha ya Kihispania yenye hashtag GolfoDeMéxico kujibu hatua ya Marekani ya kulibadilsha jina Ghuba ya Mexico.
-
Sababu za kukua uchumi wa Iran licha ya kukabiliwa na vikwazo
Jan 25, 2025 23:13Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imestawi pakubwa kiuchumi licha ya vikwazo na sera za Marekani na nchi za Magharibi dhidi yake.