-
Kamanda wa Iran apuuzilia mbali hatua ya US ya kutuma meli za kivita Asia Magharibi; asema ni ya kimaonyesho
Feb 23, 2026 00:10Kamanda wa jeshi la Iran amepuuzilia mbali mkusanyiko wa meli na ndege za kivita za Marekani katika eneo la Asia Magharibi zilizoshuhudiwa wiki chache za hivi karibuni na kuitaja kuwa hatua ya kimaonyesho" huku kukiwa na mvutano kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran na kwamba Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa jibu madhubuti kwa hila hizo za hali ya juu.
-
Marekani yashangaa kwa nini Iran haijasalimu amri licha ya mashinikizo ya kijeshi
Feb 23, 2026 00:10Mjumbe maalum wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi, Steve Witkoff, amesema kuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameonyesha mshangao mkubwa kuhusu sababu zinazofanya Iran isikubali masharti ya Washington katika mazungumzo yanayohusu mpango wake wa nyuklia.
-
Waziri Araghchi: Iran italinda haki za taifa katika nyuklia kupitia diplomasia
Feb 22, 2026 08:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesisitiza dhamira ya nchi yake kulinda haki halali za taifa katika nyanja ya nishati ya nyuklia kwa njia ya diplomasia.
-
Iran yamkemea balozi wa Marekani aliyeunga mkono mpango wa “Israel Kubwa”
Feb 22, 2026 08:52Iran imejiunga na nchi na mashirika kadhaa ya Kiislamu na Kiarabu katika kulaani vikali kauli za balozi wa Marekani katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu, aliyedokeza kuwa Israel ina haki ya kupanua uvamizi wake hadi sehemu kubwa ya Asia Magharibi.
-
Iran yajibu mapigo kwa kuyatambua majeshi ya wanamaji na wanaanga ya EU kama mashirika ya 'kigaidi'
Feb 22, 2026 03:21Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kuhusu uchukuaji hatua za kujibu mapigo kukabiliana na uamuzi haramu wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya, EU wa kuviwekea lebo ya ugaidi baadhi ya vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
China, Russia zasisitiza kutatuliwa kidiplomasia kadhia ya nyuklia ya Iran
Feb 21, 2026 22:46Wawakilishi wa Russia na China katika mashirika ya kimataifa yenye makao yake mjini Vienna Austria wamesisitiza suluhisho la kidiplomasia kwa suala la nyuklia la Iran.
-
Iran yaonya kuhusu wapenda vita wanaotaka “vita vya maafa”
Feb 21, 2026 04:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Marekani haijawahi kudai kusitishwa kabisa kwa urutubishaji wa urani katika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja yanayoendelea, huku akionya kuwa baadhi ya wenye misimamo mikali wanajaribu kuisukuma sera ya Marekani kuelekea katika “vita visivyo vya lazima na vya maafa.”
-
Russia yasisitizia uungaji mkono wake kwa haki za kisheria za Iran katika mazungumzo ya nyuklia
Feb 20, 2026 22:50Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Sergey Lavrov amesema Moscow inaunga mkono kufikiwa suluhisho la kisiasa na kidiplomasia litakaloheshimu haki za kisheria za Iran katika mazungumzo ya nyuklia na Marekani.
-
"Vyombo vya diplomasia vya Iran vijadiliane kwa kuzingatia hekima, izza, na maslahi ya taifa"
Feb 20, 2026 08:03Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, "Vyombo vya kidiplomasia (vya Iran) lazima vichore ramani yake ya mazungumzo kwa njia sahihi, ya uwazi na ufasaha, kwa kuzingatia kanuni za heshima, uwazi na hekima, na kuchukua hatua za ujasiri na imara katika njia hii."
-
Iran yaonya: Hatutaanzisha vita, lakini tutajibu vikali uvamizi wowote
Feb 20, 2026 06:18Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kwamba, Jamhuri ya Kiislamu haitaanzisha vita, lakini itatoa jibu zito kwa kitendo chochote cha uchokozi dhidi ya nchi hii.