-
Iran yazitaka nchi za Shanghai kuwa jadi dhidi ya jinai za Israel na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani
Oct 16, 2024 23:24Mkuu wa ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Mkutano wa Jumuiya ya ushirikiano ya Shanghai (SCO) huko Pakistan ameitaka jumuiya hiyo kuwa jadi na kuchukua hatua madhubuti dhidi ya chokochoko za utawala wa Kizayuni na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani. Amezitaka nchi wanachama wa Shanghai kuchukua hatua za kivitendo ili kukabiliana na vikwazo vya kibiashara vya pande zote.
-
Iran yaonya kuhusu chokochoko mpya za Wazayuni
Oct 16, 2024 07:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amezungumza kwa simu na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Ufaransa na kuonya kuhusu matokeo mabaya na hatari mno ya chokochoko mpya za utawala wa Kizayuni katika eneo la Asia Magharibi.
-
Iran yamwita balozi wa Hungary kulalamikia vikwazo vipya vya EU
Oct 16, 2024 03:40Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imemuita balozi wa Hungary mjini Tehran na kumkabidhi malalamiko makali ya Jamhuri ya Kiislamu kwa vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya shakhsia na taasisi kadhaa za Iran.
-
Umoja wa Umma wa Kiislamu, siri ya ushindi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Oct 16, 2024 00:20Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kuleza kuwa Iran iko tayari kusaidia kujenga maelewano ya pamoja ya kiusalama kuhusu hatari ya kihistoria ya utawala wa Kizayuni, amesema: Kuna haja kusimamishwa aina yoyote ya mpango wa kisiasa na kiuchumi unaousaidia utawala huo ghasibu.
-
Rais wa Iran ashiriki katika mazishi Shahidi Nilforoushan mjini Tehran
Oct 15, 2024 09:40Rais wa Iran amehudhuria hafla ya mazishi ya jenerali aliyeuawa shahidi Abbas Nilforoushan, mshauri wa ngazi za juu wa kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon.
-
Kuendelea safari ya kieneo ya Araghchi; kutumia njia mbili za vita na za kidiplomasia
Oct 15, 2024 09:21Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran siku ya Jumatatu ya jana aliwasili Muscat, mji mkuu wa Oman katika muendelezo wa safari zake za kieneo.
-
Trump amsifu shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani
Oct 15, 2024 08:42Rais wa zamani wa Marekani na mgombeaji wa uchaguzi ujao wa rais wa nchi hiyo amesema kuwa, Luteni Jenerali Qassem Soleimani aliyeuawa shahidi, kamanda wa zamani wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha IRGC, alikuwa jenerali mkubwa sana wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Baada ya Wazayuni kueneza uvumi wa kipuuzi, hatimaye Jenerali Qaani ajitokeza hadharani
Oct 15, 2024 02:53Brigedia Jenerali Ismael Qaani, Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran SEPAH ameonekana hadharani katika mazishi ya Shahhid Abbas Nilforoushan na kubatilisha njama na uvumi wote wa Wazayuni dhidi ya Jenerali Qaani.
-
Iran: Tutaendeleza jitihada za kidiplomasia hadi Israel ikomeshe jinai zake
Oct 15, 2024 02:52Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, ataendelea kutembelea miji mikuu ya nchi mbalimbali na kuzungumza na viongozi wa nchi hizo hadi amani na utulivu upatikane katika eneo lote la Asia Magharibi.
-
Bloomberg: Mashambulio ya makombora ya Iran dhidi ya Israel yalisababisha uharibifu mkubwa
Oct 14, 2024 22:48Kituo cha habari cha Bloomberg kimekadiria uharibifu uliosababishwa wa nyumba na mali binafsi huko Israel wakati wa shambulio la hivi karibuni la makombora ya Iran kuwa ni karibu dola milioni 40 hadi 53.