-
Tehran yapuuzilia mbali madai ya Israel ya njama ya kumuua balozi wa utawala huo huko Mexico
Nov 10, 2025 08:45Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amepuuza vikali madai ya Israel kwamba Tehran ilijaribu kumuua balozi wa utawala huo nchini Mexico, akiyata madai hayo kuwa "hayana msingi na ni ya kipuuzi kabisa."
-
Gavana wa Darfur: Al Burhan aamuru vikosi kusonga mbele kuelekea magharibi
Nov 10, 2025 08:43Gavana wa Darfur na kiongozi wa Harakati ya Ukombozi wa Sudan, Minni Arko Minnawi amesema kwamba mkuu wa Baraza la Utawala na kamanda mkuu wa Jeshi la Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, ameamuru kusonga mbele kuelekea magharibi mwa Darfur.
-
IRGC yavunja mtandao wa udukuzi unaohusishwa na Mossad
Nov 10, 2025 08:42Shirika la Ujasusi la Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza mafanikio makubwa ya kukabiliana na ujasusi, na kumkamata kiongozi wa kundi la udukuzi linalojulikana kama "Backdoor."
-
AU yatoa wito wa kuchukuliwa hatua za kimataifa kushughulikia mgogoro wa Mali
Nov 10, 2025 07:30Mkuu wa Tume ya Umoja wa Afrika, Mahmoud Ali Youssef, ameelezea wasiwasi wake kuhusu kuzorota kwa kasi hali ya usalama nchini Mali, ambako makundi aliyoyataja kuwa ya "kigaidi" yamezuia operesheni za kuwasilisha mahitaji ya msingi na hivyo kuzidisha mgogoro wa binadamu unaowakabili raia, pamoja na kuongezeka kwa utekaji nyara.
-
Waandishi habari 44 kati 270 waliouawa na Israel huko Gaza waliuawa wakiwa kwenye mahema ya wakimbizi
Nov 10, 2025 06:21Kundi la kutetea haki za waandishi wa habari wa Palestina limeripoti kuwa jeshi la Israel limewaua waandishi wa habari 44 wa Palestina katika mahema ya wakimbizi huko Gaza, wakiwa kati ya zaidi ya wafanyakazi 270 wa vyombo vya habari waliouawa na utawala huo katika eneo linalozingirwa la Ukkanda wa tangu Oktoba 2023.
-
New York Times: Katika vita vijavyo, Iran itarusha makombora 2,000 kwa wakati mmoja kuilenga Israel
Nov 10, 2025 02:49Gazeti la The New York Times la nchini Marekani limetahadharisha kwamba ikiwa Israel itaishambulia tena Iran, Tehran itajibu hujuma hiyo kwa nguvu zaidi, kwa kurusha makombora 2,000 kwa wakati mmoja kuulenga utawala huo wa kizayuni.
-
HAMAS: Lengo la safari ya rais wa Israel Afrika ni kubadilisha misimamo ya nchi zinazounga mkono Palestina
Nov 10, 2025 02:48Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa safari ya rais wa utawala ghasibu wa kizayuni katika nchi za Afrika ni jaribio la kutaka kubadilisha msimamo wa nchi hizo wa zinazopinga ukoloni na kuunga mkono haki za watu wa Palestina.
-
RSF imezika kwa halaiki na kuchoma moto maiti za mamia ya raia El-Fasher kuficha jinai za mauaji ya kimbari
Nov 10, 2025 02:48Mtandao wa Madaktari wa Sudan umeripoti kuwa, maiti za mamia ya raia zimezikwa katika makaburi ya pamoja na nyingine zimechomwa moto na Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) mjini El-Fasher magharibi mwa nchi hiyo.
-
Russia: Hatutakhalifu marufuku ya kufanya majaribio ya silaha za nyuklia, isipokuwa kama US itafanya hivyo
Nov 10, 2025 02:47Msemaji wa Ikulu ya Russia, Kremlin Dmitry Peskov amesema, nchi hiyo haina nia ya kukiuka majukumu yake chini ya makubaliano ya kimataifa yanayopiga marufuku majaribio ya nyuklia, lakini itachukua hatua ya kuanza tena kufanya majaribio hayo ikiwa nchi zingine zitafanya hivyo,
-
Katz amtusi vikali Erdogan baada ya mahakama ya Uturuki kutoa hati za kukamatwa viongozi 37 wa Israel
Nov 10, 2025 02:47Waziri wa vita wa utawala wa kizayuni wa Israel, Yisrael Katz amemshambulia kwa matusi makali Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan baada ya mahakama ya nchi hiyo kutoa hati za kukamatwa viongozi 37 wa utawala huo ghasibu kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya kimbari ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.