-
Sisitizo la Iran la kuendeleza mazungumzo na kubakisha machaguo yake, kuanzia makombora hadi ufungaji wa Lango-bahari la Hormuz
Feb 16, 2026 07:37Wakati mivutano kati ya Iran na Marekani inazidi kuongezeka, Tehran imesisitiza kuwa, machaguo yake yote yako mezani, licha ya mazungumzo yanayoendelea baina yake na Washington.
-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 16
Feb 16, 2026 07:26Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu tuzamie baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyoshuhudiwa ndani ya siku saba zilizopita katika pembe tofauti za dunia.
-
Iran na Tanzania kupanua ushirikiano wa karantini na kilimo
Feb 16, 2026 06:48Mkuu wa Shirika la Ulinzi wa Mimea la Iran ameeleza azma ya taifa hili ya kukuza ushirikiano na Tanzania katika uga wa karantini na kilimo.
-
"Ni muhali kufikia amani na Israel madhali inakiuka haki za Wapalestina"
Feb 16, 2026 06:47Waziri wa Mambo ya Nje na Wahamiaji wa Palestina, Varsen Aghabekian Shahin amesema kufikia amani na Israel "haiyumkiniki" madhali haki za Wapalestina zinakiukwa na utawala huo wa Kizayuni, akisisitiza kwamba sheria za kimataifa zinapasa kuzingatiwa, na uchukuaji wa hatua za upande mmoja lazima ukomeshwe.
-
Utumwa, ukoloni; Ghana yataka nchi za AU kuunga mkono Azimio la Algiers
Feb 16, 2026 06:44Rais wa Ghana ametoa wito kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuunga mkono rasimu ya azimio lenye lengo la kutambua dhulma za kihistoria zilizosababishwa na biashara ya utumwa wa kuvuka Atlantiki.
-
Kallas: Estonia inaipiku Marekani katika uhuru wa kujieleza
Feb 16, 2026 06:41Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Kaja Kallas amepuuzilia mbali ukosoaji wa Washington kuhusu mbinyo wa kutoa maoni katika nchi wanachama wa umoja huo, akisisitiza kwamba nchi yake ya asili ya Estonia ina uhuru mkubwa zaidi wa kujieleza kuliko Marekani.
-
Tebboune: Tunao ushahidi unaothibitisha ukatili wa jinai za kikoloni za Ufaransa
Feb 16, 2026 02:29Rais wa Algeria, Abdelmadjid Tebboune, ametangaza kwamba nchi yake iko tayari kuwasilisha nyaraka, ushahidi na ushuhuda kwa vyombo vya kisheria vya Afrika ambavyo "vinathibitisha uhalifu mbaya" wa ukoloni wa Ufaransa nchini Algeria.
-
Palestina yapongeza matokeo ya mkutano wa kilele wa Afrika uliounga mkono uanachama wake UN
Feb 16, 2026 02:28Palestina imekaribisha matokeo ya mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika uliofanyika Addis Ababa, ambao umesisitiza tena upinzani wa bara hilo dhidi ya mipango ya kuwafukuza Wapalestina katika nchi yao na kuunga mkono suala la Palestina kupata uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa.
-
Watu 10 wauawa katika mashambulizi dhidi ya maeneo ya kijeshi nchini Burkina Faso
Feb 16, 2026 02:27Vyanzo vya usalama vimesema kwamba mashambulizi ya waasi wenye silaha yamewaua watu wasiopungua 10 kaskazini na mashariki mwa Burkina Faso.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran awasili Geneva kwa mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani
Feb 16, 2026 02:27Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amewasili katika mji wa Geneva nchini Uswisi kwa ajili ya duru ya pili ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani kuhusu mpango wa nyuklia wa amani wa Jamhuri ya Kiislamu.