-
Lavrov: Kadhia ya Epstein imedhihirisha sura halisi ya 'kuabudu shetani' ya watu mashuhuri wa Magharibi
Feb 09, 2026 23:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, mtindo mchafu wa maisha wa mfadhili na mhalifu wa vitendo vya ngono wa Marekani Jeffrey Epstein pamoja na tapo lake ni ushuhuda wa kuporomoka kimaadili shakhsia muhimu na maarufu wa Magharibi.
-
Kuungana makundi ya Kipalestina dhidi ya njama za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi
Feb 09, 2026 23:03Makundi ya mapambano ya ukombozi ya Palestina yamesisitiza ulazima wa kukabiliana na mipango ya Wazayuni wenye misimamo mikali katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Rais Pezeshkian: Mazungumzo ya Iran na Marekani ni ‘fursa nzuri’ ya kutatua suala la nyuklia
Feb 09, 2026 22:57Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Marekani na Iran yanatoa fursa nzuri ya kufikia suluhu “inayoridhisha pande zote ” kuhusu suala la nyuklia la Iran.
-
Zambia yaripoti visa 20 vipya vya kipindupindu ndani ya saa 24
Feb 09, 2026 22:56Zambia imeripoti visa 20 vipya vya kipindupindu katika kipindi cha saa 24 zilizopita hadi Jumatatu, huku mji mkuu Lusaka ukichangia visa 11 kati ya hivyo.
-
Somalia: Israel kuitambua 'Somaliland' ni ukiukaji wa sheria za kimataifa
Feb 09, 2026 22:56Serikali ya Somalia imeendelea kukosoa vikali uamuzi wa utawala haramu wa Israel wa kutambua kama nchi eneo la Somalia lililojitenga na kujiita Somaliland, ikisema kuwa hatua hiyo ni ukiukaji wa sheria na misingi ya kimataifa, huku ikibainisha kuwa Tel Aviv ina historia ya kukiuka kanuni hizo kwa miaka mingi.
-
Watu 21 wauawa katika hujuma ya waasi wa ADF nchini DRC
Feb 09, 2026 22:55Takriban watu 21 wameuawa katika shambulio la hivi karibuni linalohusishwa na waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), afisa mmoja amesema Jumatatu.
-
Uvamizi wa damu: Jinai za nyuma ya pazia za Ufaransa nchini Ivory Coast
Feb 09, 2026 10:01Kwa takriban miongo minane, kuanzia mwaka 1893 hadi 1960, Ivory Coast ilikuwa eneo la moja ya tawala za kikoloni katili zaidi za Ufaransa magharibi wa Afrika.
-
Watu 53 wahofiwa kufa maji baada ya boti kuzama pwani ya Libya
Feb 09, 2026 07:47Watu wasiopungua 53 wakiwemo watoto wawili wadogo wameripotiwa kwamba, ama wamekufa maji au kutoweka, baada ya boti dhaifu ya plastiki iliyokuwa imebeba makumi ya wahajiri kuzama karibu na pwani ya Libya.
-
Kiongozi Muadhamu awataka Wairani kuwakatisha tamaa maadui Bahman 22
Feb 09, 2026 07:20Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa wito kwa taifa la Iran kuonyesha irada, azma thabiti na kusimama kidete, kwa kushiriki kwa wingi katika matembezi na mijumuiko ya kuadhimisha miaka 47 ya Mapinduzi ya Kiislamu, akisema kuwa umoja huo utamkatisha tamaa adui wa nchi hii.
-
Jeshi la Mali: Makumi ya wanamgambo wameuawa karibu na Segou
Feb 09, 2026 06:42Jeshi la Mali limetangaza habari ya kufanya wimbi la mashambulizi yaliyoratibiwa ambayo yamewaua makumi ya washukiwa wa ugaidi, wakati wa operesheni zilizofanyika magharibi mwa jiji la Segou, katikati ya nchi.