-
Spika: Iran inajiimarisha kijeshi sambamba na diplomasia
Feb 09, 2026 06:41Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad-Bagher Ghalibaf amesema Jamhuri ya Kiislamu inafuatilia diplomasia sanjari na kuimarisha uwezo wake wa kiulinzi na kijeshi ili iweze kukabiliana na maadui zake.
-
Harakati ya BDS yalaani undumakuwili wa Human Rights Watch
Feb 09, 2026 06:39Kamati ya Kitaifa ya Palestina ya harakati inayopinga dhulma na ukandamizaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina BDS imelikosoa vikali shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch kwa kutoa ripoti za upendeleo zinazoakisi haki za Wapalestina, ikiwa ni pamoja na haki ya kurejea katika ardhi za mababu zao, na kudogosha ukiukwaji wa haki za Wapalestina wa Gaza unaofanywa na utawala wa Kizayuni.
-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 9
Feb 09, 2026 03:38Natumai hujambo msikilizaji mpenzi na karibu tutupie jicho matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.
-
Jeshi la Iran: Vidole vyetu viko kwenye kitufe cha kufyatua risasi, lakini hatutaki kuanzisha vita
Feb 09, 2026 03:25Mkuu wa vikosi vya Ulinzi vya Iran, Meja Jenerali Abdolrahim Mousavi, na Kamanda wa Jeshi la Iran, Meja Jenerali Amir Hatami, wamesisitiza kuwa, Iran haitafuti kuanzisha vita vya kikanda licha ya utayari wake kamili.
-
Misri: Tunaunga mkono umoja wa ardhi ya Somalia na kupinga kuingilia masuala ya ndani ya mataifa mengine
Feb 09, 2026 03:09Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri amesema kuwa, Cairo inaunga mkono umoja wa ardhi ya Somalia na inasisitiza umuhimu wa ushiriki wake katika misheni ya kulinda amani ya Umoja wa Afrika nchini humo.
-
Maandamano katika miji mikuu mingi ya kutaka kuingizwa misaada Gaza na kulaani jinai za Israel
Feb 09, 2026 03:08Miji mikuu mingi ya dunia imeendelea kushuhudia maandamano ya kulaani ukiukaji unaoendelea wa utawala wa Kizayuni wa makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.
-
Ethiopia yaitaka Eritrea iondoe haraka vikosi kwenye ardhi yake
Feb 09, 2026 03:07Serikali ya Ethiopia imeitaka nchi jirani ya Eritrea kuondoa haraka wanajeshi wake ambao inadai wako ndani ya eneo lake.
-
Tanzania: Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu inaendelea tena leo
Feb 09, 2026 03:06Mahakama Kuu ya Tanzania imepanga kuendelea tena kesi ya uhaini inayomkabili kiongozi wa upinzani Tundu Lissu. Ripoti zinasema, kesi hiyo inaendelea leo Jumatatu Februari 9 hadi Machi 6, 2026, mbele ya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam.
-
Pezeshkian: Iran haikubali mabavu na mantiki yake ya nyuklia imejikita katika Mkataba wa NPT
Feb 08, 2026 23:31Rais Masoud Pezeshkian amepongeza duru mpya ya mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani na kuitaja kuwa “hatua ya kusonga mbele,” akisisitiza kuwa msimamo wa Tehran kuhusu suala hilo unategemea haki zilizoainishwa ndani ya Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT).
-
Jenerali Mousavi: Iran iko tayari kikamilifu kutoa jibu la haraka na kali kwa uchokozi wowote
Feb 08, 2026 23:30Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa ingawa Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kikamilifu kutoa jibu la haraka, kali na litakaloleta majuto kwa uchokozi wowote, haina nia ya kuanzisha vita vya kikanda.