-
Hamas yalaani mradi wa kifashisti na kikoloni wa Israel unaolenga kulitwaa eneo la Ukingo wa Magharibi
Feb 08, 2026 23:30Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali maamuzi mtawalia yaliyopasishwa na baraza la usalama la Israel jana Jumapili. Hamas imeyataja maamuzii hayo kuwa ni sehemu ya mradi wa kifashishti, wa kikoloni na wa kilowezi wenye lengo la kulitwaa eneo la Ukingo wa Magharibi na kuliunganisha na ardhi nyingine zilizoghusubiwa za Palestina.
-
Rais wa Somalia aapa kuzuia kambi ya kijeshi ya Israel katika eneo la Somaliland
Feb 08, 2026 23:29Rais wa Somalia amelaani vikali kile hatua ya utawala wa Israel kuingilia masuala ya ndani ya nchi yake, akiahidi “kukabiliana” na uwepo wowote wa kijeshi wa Israel katika eneo la Somalia la Somaliland ambalo limejitangazia uhuru.
-
Kenya yaanza kuondoa askari Haiti huku kikosi kipya cha UN kikichukua hatamu
Feb 08, 2026 23:28Kenya itapunguza idadi ya maafisa wake wa polisi waliotumwa nchini Haiti baada ya kukamilisha jukumu lao kuu la kuleta uthabiti wa kiusalama. Hayo ni kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Masuala ya Kigeni, Korir Sing’Oei.
-
Kwa nini China inatetea "haki ya nyuklia" ya Iran?
Feb 08, 2026 22:53China kwa mara nyingine tena imesisitiza juu ya kutetea haki ya nyuklia ya Iran.
-
Uwezo wa kiuchumi wa Iran wa kushiriki katika masoko yanayoinukia
Feb 08, 2026 05:53Waziri wa Masuala ya Uchumi na Fedha wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili Riyadh, mji mkuu wa Saudi Arabia, kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa pili wa masoko yanayoinukia.
-
Iran kuokoa dola milioni 30 kwa kujizalishia aina 63 za dawa
Feb 08, 2026 05:44Iran imezindua bidhaa mpya 63 za dawa zinazozalishwa ndani ya nchi—ikiwa ni pamoja na fomula 19 zinazozalishwa kwa mara ya kwanza hapa nchini—hatua inayotarajiwa kuifanya nchi hiyi iokoe kati ya dola milioni 25 na 30 kila mwaka kwa fedha muhimu za kigeni, kwa kupunguza utegemezi wa dawa na malighafi zinazoagizwa kutoka nje.
-
UNICEF: Israel imeuwa watoto 37 wa Kipalestina katika mashambulizi Gaza mwaka huu
Feb 08, 2026 05:42Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limeeleza kuwa watoto wa Kipalestinan wasiopungua 37wameuawa katika mashambuliiz ya Israel huko Gaza tangu kuanza mwaka huu wa 2026.
-
Afrika Kusini kuondoa wanajeshi wake katika kikosi cha kulinda amani cha UN, nchini Kongo
Feb 08, 2026 05:42Afrika Kusini imesema kuwa itaondoa wanajeshi wake 700 waliokuwa wakihudumu katika kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO).
-
Araqchi: Iran haiogopi kutumwa wanajeshi wa upande mwingine katika kanda hii
Feb 08, 2026 05:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu haiogopi vitisho vya kijeshi, akisema: "Iran ni nchi nchi inayofuata diplomasia na mantiki, na wakati huo huo iko tayari kujilinda ili upande wowote usithubutu kulazimisha vita dhidi ya taifa la Iran."
-
Waziri wa Habari wa Somalia: Hatutaruhusu Israel kutumia ardhi yetu kuwatishia majirani
Feb 08, 2026 05:10Waziri wa Habari, Utamaduni na Utalii wa Somalia, Daud Aweys Jama, amesema kwamba nchi yake imethibitisha mara kwa mara msimamo wake wa kupinga na kulaani ukiukaji wa wazi wa Israel wa mamlaka ya kujitawala Somalia na ardhi yake yote.