-
Uhispania : Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni ukiukaji wa sharia za kimataifa
Mar 19, 2026 09:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania, José Manuel Albares, amesisitiza kwamba Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel wameanzisha “vita vya upande mmoja” dhidi ya Iran na huo ni“ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.”
-
Ujumbe wa Rambirambi wa Kiongozi Muadhamu Kufuatia kuuawa shahidi Dkt.Larijani
Mar 19, 2026 09:00Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Hosseini Khamenei, ammetuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kuuawa shahidi kwa Dk. Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, pamoja na mwanawe na baadhi ya wenzake.
-
Hamas na Jihad Islami zalaani mauaji ya mkuu wa baraza la usalama wa taifa la Iran
Mar 19, 2026 08:59Harakati za Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) Palestina zimelaani mauaji ya afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, na kuahidi kuendeleza njia na msimamo wake.
-
Siku ya ishirini ya mapambano; Wazayuni na Wamarekani watenda jinai katika kinamasi
Mar 19, 2026 07:25Vita vya kichokozi vilivyoanzisha na Marekani kwa kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, sasa vimeingia siku yake ya ishirini.
-
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran: Tutalipiza kisasi kwa damu ya Shahidi Larijani
Mar 18, 2026 09:55Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Luteni Jenerali Hatami amesema kuwa jibu la Iran kwa mauaji ya kigaidi ya Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa litakuwa thabiti na la kuwafanya wahusika wajute.
-
Mwigizaji wa Hollywood: Trump ni gaidi na mhalifu
Mar 18, 2026 09:53Mwigizaji maarufu wa Marekani Morgan Freeman ameandika katika ukurasa wake binafsi kwenye mitandao ya kijamii kwamba rais Donald Trump ni gaidi, mbaguzi wa rangi na mhalifu, na kwamba Ikulu ya White House inapaswa kuhesabiwa kuwa ni shirika la kigaidi.
-
Amnesty International: Marekani lazima iwajibishwe kwa uhalifu katika Shule ya Minab nchini Iran
Mar 18, 2026 09:23Shirika la Amnesty International limetangaza kwamba Marekani lazima iwajibishwe kwa mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Msingi ya Minab nchini Iran.
-
Iran yatuma barua UN; yalalamikia mashambulizi ya US dhidi yake kutokea katika nchi za eneo
Mar 18, 2026 09:21Iran imetuma barua saba tofauti kwa Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la umoja huo kuhusiana na mashambulizi ya Marekani dhidi yake kutokea katika nchi za kanda hii.
-
Iran yamnyonga jasusi wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad
Mar 18, 2026 08:35Mahakama ya Iran imetangaza mapema Jumatano kwamba imemnyonga mtu aliyepatikana na hatia ya kufanya ujasusi kwa maslahi ya utawala haramu wa Israel.
-
"Israel inadanganya, Iran haitutishii": Afisa wa ujasusi aliyeteuliwa na Trump ajiuzulu kwa sababu ya vita na Iran
Mar 18, 2026 08:27Mkuu wa Kituo cha Kitaifa cha Kupambana na Ugaidi nchini Marekani amejiuzulu baada ya kufichua yanayojiri nyuma ya pazia kuhusu vita vya nchi hiyo na Israel dhidi ya Iran.