-
Maandamano ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina na Gaza yafanyika katika nchi mbalimbali
Mar 31, 2024 11:28Wananchi huko Italia, Norway, Marekani, Japan na Morocco kwa mara nyingine tena wameandamana kulaani mauaji ya kimbari ya raia wa Palestina yanayofanywa na wanajeshi ghasibu wa utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza.
-
Jeshi la Israel lakiri kuwaua na kuwazika Wapalestina wawili kwa tingatinga
Mar 30, 2024 06:04Televisheni ya CNN ya Marekani imenukuu taarifa ya jeshi la Israel likikiri kuwaua Wapalestina wawili na kufukia miili yao kwa kutumia tingatinga, baada ya televisheni ya Al Jazeera ya Qatar kurusha hewani kipande cha video kinachoonyesha undani wa mauaji hayo.
-
Wairani wawaenzi mashahidi wa Kipalestina katika hafla ya makumi ya maelfu
Mar 28, 2024 02:18Zaidi ya Wairani 100,000 wamehudhuria sherehe kubwa ya kidini katika uwanja wa michezo wa Azadi ambapo kati ya mambo mengine wamewaenzi mashahidi Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Kijana, Islam, aliyeokoa watu zaidi 100 katika hujuma ya kigaidi ya Moscow apewa nishani ya ushujaa
Mar 25, 2024 02:12Kijana Muislamu mwenye umri wa miaka 15 aliyeokoa zaidi ya watu mia moja wakati wa hujuma ya kigaidi kwenye ukumbi wa tamasha wa Crocus City Hall nje kidogo ya jiji la Moscow, siku ya Ijumaa iliyopita, ametunukiwa nishani ya ushujaa.
-
Mkutano wa Baraza la Usalama kuhusu Gaza: Israel lazima ikomeshe mauaji ya kimbari
Jan 24, 2024 09:57Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limefanyika kuhusu suala la vita vya Gaza ambapo mawaziri wa mambo ya nje wa nchi mbalimbali wamekosoa uungaji mkono wa Marekani kwa jinai zinazofanywa na Israel, wakisisitiza udharura wa kusitishwa mauaji ya kimbari dhidi ya Palestina.
-
Yemen: Mashambulizi ya US na UK hayatotuzuia kuliunga mkono taifa la Palestina + VIDEO
Jan 12, 2024 10:35Msemaji wa majeshi ya Yemen, Brigedia Jenerali Yahya Sarii amesema kuwa, mashambulizi ya kiuadui ya Marekani na Uingereza hayatobadilisha msimamo wa Yemen wa kuliunga mkono taifa la Palestina ikiwemo Ghaza na kwamba uadui huo uliofanyika mapema leo Ijumaa dhidi ya Yemen hautoachwa vivi hivi bila ya majibu na kuadhibiwa madola hayo ya kibeberu.
-
Wananchi wa Nigeria na Ghana wamuenzi Luteni Jenerali Qassim Suleimani + Video na Picha
Jan 08, 2024 03:48Kumbukumbu za kutimia mwaka wa nne tangu kuuliwa shahidi Luteni jenerali Shahidi Qassim Suleiman zimefanyika katika miji mikuu ya Nigeria na Ghana yaani huko Abuja na Accra kwa kuhudhuriwa na Waislamau wa matabaka mbalimbali na wafuasi wa kamanda huyo.
-
Maelfu washiriki kwenye maandamano ya Morocco ya kuunga mkono Palestina
Dec 25, 2023 06:30Maelfu ya watu nchini Morocco wamefanya mojawapo ya maandamano makubwa zaidi ya kuunga mkono Palestina mjini Rabat, tangu kuzuka kwa vita vya Gaza, wakati wakiitisha kuvunjwa kwa mahusiano kati ya taifa lao na Israel.
-
Wananchi wa Kano Nigeria waandamana kulaani jinai za Israel Ukanda wa Gaza
Nov 12, 2023 13:10Maelfu ya Waislamu na waungaji mkono wa Palestina katika mji wa Kano, Nigeria wameandamana na kulaani jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina hasa wa Ukanda wa Gaza.
-
Uongo 10 unaoenezwa na Wazayuni kupotosha kadhia ya Palestina
Nov 01, 2023 10:48Wazayuni wanafanya propaganda kubwa kujaribu kupotosha fikra za walimwengu kuhusu jinai zao na kuhusu kadhia nzima ya Palestina.