-
Ansarullah yapuuza hatua ya Marekani kuiweka harakati hiyo kwenye orodha yake ya magaidi
Jan 23, 2025 09:36Ansarullah ya Yemen imepuuza uamuzi wa hivi karibuni wa Marekani wa kuiweka harakati hiyo ya Muqawama kwenye orodha ya makundi yake ya kigaidi na kusema kuwa, kujumuishwa kwenye orodha ya marafiki wa Marekani ni aibu na tishio kubwa zaidi kuliko hata ugaidi wenyewe.
-
Israel yaendelea kumwaga damu za Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Jan 23, 2025 04:19Wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina wengine wawili katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu, wakati wakiendelea na kampeni ya kijeshi ambayo imeifanya kambi ya wakimbizi ya Jenin "kutoweza kukalika".
-
UN yatahadharisha mauaji ya kimbari ya Israel yanaweza kupanuka hadi Ukingo wa Magharibi
Jan 22, 2025 23:21Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu katika ardhi za Palestina ametahadharisha kuwa mauaji ya kimbari ya Israel yanaweza kupanuka kutoka Gaza hadi Ukingo wa Magharibi, kwa kuzingatia operesheni kubwa ya kijeshi inayoendelea kufanywa na utawala huo ghasibu katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Jenin.
-
Sera ya Mashariki ya Kati ya Trump katika muhula wa pili wa urais wake itakuwaje?
Jan 22, 2025 09:34Rais Donald Trump wa Marekani, amerejea ikulu baada ya miaka minne, akianza rasmi muhula wake wa pili wa urais Jumatatu, tarehe 20 Januari 2025. Swali kuu ni: Je, sera yake kuhusu Mashariki ya Kati au Asia Magharibi itakuwaje katika muhula huu wa pili?
-
Baada ya HAMAS, Jihadul Islami nayo yaishukuru Iran kwa msaada wake mkubwa kwa Palestina
Jan 22, 2025 03:08Msemaji wa Brigedi za Al-Quds, tawi la kijeshi la harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imeishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuishambulia mara mbili Israel katika operesheni za Ahadi ya Kweli Moja na Ahadi ya Kweli Mbili na kusisitiza kuwa, Muqawama utaheshimu usitishaji vita kama adui Mzayuni naye ataheshimu makubaliano hayo.
-
Waziri Mkuu wa Qatar: Diplomasia ndiyo njia bora ya kushirikiana na Iran
Jan 22, 2025 03:08Waziri Mkuu wa Qatar ameitaka Marekani kurejea katika meza ya mazungumzo na kufikia makubaliano mapya kuhusu suala la nyuklia la Iran akisisitiza kuwa, diplomasia ndio utatuzi bora zaidi wa masuala tata.
-
Kimbunga cha al-Aqsa chamsomba Mkuu wa Majeshi ya Israel
Jan 21, 2025 23:56Mkuu wa Vikosi vya Majeshi ya Israel, Herzi Halevi ametangaza kujiuzulu kufuatia kushindwa kwake kuzima Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa dhidi ya utawala huo haramu.
-
Hamas 'yajiweka sawa' baada ya Israel kufanya shambulio la kinyama Jenin
Jan 21, 2025 23:20Wanajeshi wa Israel wamewauwa shahidi Wapalestina kumi na kuwajeruhi wengine 35 katika shambulio dhidi ya mji unaokaliwa kwa mabavu wa Jenin katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, na kupelekea Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas kutoa wito kwa vijana wa Kipalestina kujikusanya na kujiandaa kujibu uchokozi huo wa vikosi vamizi vya Wazayuni.
-
Utawala wa Israel umetekeleza uharibifu mkubwa na wa makusudi Gaza
Jan 21, 2025 23:16Katika kipindi hiki cha kutekelezwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza na kuondoka kwa vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel, maelfu ya Wapalestina wanapaswa kurejea katika. Hata hivyo hakuna nyumba za kurejea kwani Gaza imebaki na magofu tu.
-
Nyaraka zavuja kuhusu msaada wa mafuta wa Erdogan kwa utawala wa Israel
Jan 21, 2025 07:56Mbunge wa Uturuki amewasilisha picha za satalaiti na nyaraka za data za baharini katika bunge la nchi hiyo zinazothibitisha kwamba Ankara imekuwa ikitoa msaada wa mafuta kwa utawala wa Israel.