-
Rasimu ya kupiga marufuku uhusiano wa kawaida na Israeli yapitishwa katika bunge la Iraq
May 13, 2022 21:42Bunge la Iraq limeidhinisha rasimu ya sheria inayopiga marufuku kuanzisha au kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel. Rasimu hiyo inatoa adhabu ya kifo kwa mtu yeyote atakayepatikana na hatia ya kuhusika na uhalifu huo.
-
Rais wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) afariki dunia, kuombolezwa kwa siku 40
May 13, 2022 09:59Rais wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) au Imarati, Sheikh Khalifa bin Zayed Al Nahyan amefariki dunia.
-
Mashirika 250 ya haki za binadamu yataka Israel ichukuliwe hatua kwa kumuua Shireen Abu Aqleh
May 13, 2022 05:20Mashirika na makundi 250 ya kutetea haki za binadamu yametoa wito wa kuchukuliwa hatua za kisheria utawala haramu wa Israel kwa jinai uliyotenda ya kumuua mwandishi habari wa Televisheni ya al-Jazeera Shireen Abu Aqleh.
-
Ziyad al-Nakhalah: Adui Mzayuni anaelekea kuangamia
May 13, 2022 05:19Ziyad al-Nakhalah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesema kuuwa, adui Mzayuni anaelekea kuangamia.
-
Amir wa Qatar amshukuru Rais wa Iran kwa mapokezi mazuri
May 13, 2022 03:15Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al-Thani ametuma ujumbe katika ukurasa wake wa Twitter ambapo amemshukuru Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mapokezi mazuri na ukarimu wakati wa ziara yake mjini Tehran.
-
Mabunge ya Kiislamu yatakiwa yatambue kuwa ni uhalifu kuanzisha uhusiano na Israel
May 12, 2022 21:55Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeyataka Mabunge ya Kiislamu kulitambua suala la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel kuwa ni kosa na uhalifu.
-
Amir-Abdollahian: Wananchi wa asia Magharibi wanapinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel
May 12, 2022 21:55Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wananchi wa eneo la Asia Magharibi hawakubaliani na suala la kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel unaotenda jinai kila uchao dhidi ya Wapalestina.
-
UN yaishukuru Iran kwa msaada wake katika jitihada za kutatua mzozo wa Yemen
May 12, 2022 21:52Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen amesifu na kupongeza msaada wa Iran kwa shirika hilo katika jitihada za kutatua mgogoro wa Yemen.
-
Dola milioni 79 zinahitajika kunusuru meli iliyo hatarini kuzama Yemen
May 12, 2022 06:53Takribani dola milioni 38 zimechangishwa kati ya 79.6 zinazohitajika ili kunusuru meli ya kuhifadhi mafuta, FSO Safer iliyo hatarini kuzama na kuvujisha mafuta au kulipuka kando mwa pwani ya Yemen katika Bahari ya Sham.
-
Haaretz: Jeshi la Israel limekiri kumuuwa Shireen Abu Akleh
May 12, 2022 03:29Jeshi la utawala haramu wa Kizayuni baada ya kufanyika uchunguzi kuhusu kuuliwa ripota wa televisheni ya al Jazeera katika mji wa Jenin limekiri kuwa mwandishi huyo wa habari ameuliwa kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala huo.