• Wiki ya Umoja wa Kiislamu-2  (Ruwaza Njema)

    Wiki ya Umoja wa Kiislamu-2 (Ruwaza Njema)

    Nov 11, 2019 07:56

    Alipozaliwa alipewa jina la Muhammad lenye maana ya msifiwa. Jina hili hakuwahi kupewa kiumbe mwingine kabla yake yeye. Jina hilo, kama alivyokuwa yeye mwenyewe, liliteuliwa na Mwenyezi Mungu Muweza na lilitajwa katika vitabu vya Mitume waliotangua.

  • Wiki ya Umoja wa Kiislamu-1 (Mtindo wa Maisha ya Mtume SAW Katika Familia)

    Wiki ya Umoja wa Kiislamu-1 (Mtindo wa Maisha ya Mtume SAW Katika Familia)

    Nov 09, 2019 07:16

    Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizajii popote pale mlipo. Tumo katika siku tukufu za sherehe za kuadhimisha maulidi na kuzaliwa Mtume Muhammad (saw).

  • Maana ya kumsalia Mtume SAW na Sheikh Abdul Razzak Amir Juma wa Arusha Tanzania (SAUTI)

    Maana ya kumsalia Mtume SAW na Sheikh Abdul Razzak Amir Juma wa Arusha Tanzania (SAUTI)

    Nov 07, 2019 07:15

    Tumo ndani ya mwezi uliojaa baraka, mwezi mtukufu wa Mfunguo Sita, mwezi ambao ndio hushamiri na kuongezeka mno Maulid ya Bwana Mtume Muhammad SAW. Ni mwezi aliozaliwa mtukufu huyo wa daraja. Hapa tumekuwekeeni mawaidha maalumu kutoka kwa Sheikh Abdul Razzak Amir Juma wa Arusha Tanzania kuzungumzia namna ya kumsalia Mtume ikiwa ni sehemu ya mfululizo wa vipindi vyetu maalumu vya Mfunguo Sita.

  • Alkhamisi tarehe 31 Oktoba mwaka 2019

    Alkhamisi tarehe 31 Oktoba mwaka 2019

    Oct 31, 2019 02:30

    Leo ni Akhamisi tarehe Pili Rabiul Awwal 1441 Hijria sawa na tarehe 31 Oktoba mwaka 2019

  • Hijra ya Mtume (saw) kutoka Makka hadi Madina

    Hijra ya Mtume (saw) kutoka Makka hadi Madina

    Oct 30, 2019 10:19

    Jumatano ya wiki hii tarehe Mosi Mfunguo Sita Rabiul Awwal ilisadifiana na siku ya Hijra ya Mtume wetu Muhammad (saw) kutoka Makka na kuhamia Madina na inakumbusha tukio maarufu la "Lailatul Mabiit', usiku ambao ndani yake Amirul Muuminin Ali bin Abi Twalib (as) alisabilia nafsi yake kwa kulala katika kitanda cha Mtume wakati mtukufu huyo alipoondoka Makka akielekea Madina.

  • Ruwaza Njema (28)

    Ruwaza Njema (28)

    Sep 29, 2019 06:08

    Assalaam Aleikum wapenzi wasikiliza na karibuni kusikiliza kipindi kingine cha Ruwaza Njema ambacho kinakujieni kupitia Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutanagazieni kutoka mjini Tehran.

  • Ruwaza Njema (27)

    Ruwaza Njema (27)

    Sep 29, 2019 06:04

    Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Tuna furaha kukutana nanyi tena katika makala nyingine ya kipindi hiki cha Ruwaza Njema, hii ikiwa ni sehemu ya 27 ya kipindi hiki.

  • Ruwaza Njema (26)

    Ruwaza Njema (26)

    Sep 29, 2019 06:01

    Assalaam Alaikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran.

  • Ruwaza Njema (25)

    Ruwaza Njema (25)

    Sep 29, 2019 05:55

    Assalaama Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu inayokutangazieni kutoka mjini Tehran.