Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shahid Qassem Soleimani

  • Maduro: Dunia inapaswa kulaani mauaji ya Jenerali Soleimani

    Maduro: Dunia inapaswa kulaani mauaji ya Jenerali Soleimani

    Dec 27, 2021 13:27

    Rais Nicholas Maduro wa Venezuela amesema jamii ya kimataifa inapaswa kulaani vikali mauaji ya kigaidi ya mwaka 2020 ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani wa Iran ambaye alikuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Mohseni-Eje'i : Iran itawafuatilia na kuwatia adabu waliohusika na mauaji ya kigaidi ya Kamanda Soleimani

    Mohseni-Eje'i : Iran itawafuatilia na kuwatia adabu waliohusika na mauaji ya kigaidi ya Kamanda Soleimani

    Oct 18, 2021 11:26

    Mkuu wa Idara wa Mahakama nchini Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu itawafuatilia na kuwaadhibu wale wote waliohusika na mauaji ya kigaidi ya Kamanda Luteni Jenerali Qassem Soleimani.

  • Ghalibaf: Damu ya Shahid Soleimani imetoa msukumo wa mamia ya mara kwa muqawamaa

    Ghalibaf: Damu ya Shahid Soleimani imetoa msukumo wa mamia ya mara kwa muqawamaa

    May 11, 2021 07:50

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, damu ya Shahid Qassem Soleimani imetoa msukumo wa mamia ya mara kwa muqawama katika kona mbalimbali za dunia.

  • Kufichuliwa mambo mapya kuhusiana na Marekani kumuua kigaidi Luteni Jenerali Soleimani

    Kufichuliwa mambo mapya kuhusiana na Marekani kumuua kigaidi Luteni Jenerali Soleimani

    May 10, 2021 09:30

    Jumamosi usiku, tovuti ya habari ya Yahoo News iliandika makala na ndani yake ilitoa taarifa mpya kuhusu operesheni ya jinai ya kinyama iliyofanywa na jeshi la kigaidi la Marekani ya kumuua shahidi aliyekuwa kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH, Luteni Jenerali Qassem Suleimani.

  • Raisi: Shahidi Soleimani, chimbuko la ushindi mkabala wa maadui

    Raisi: Shahidi Soleimani, chimbuko la ushindi mkabala wa maadui

    May 04, 2021 01:34

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Iran amesema Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) alikuwa chanzo cha ushindi mtawalia dhidi ya maadui.

  • Kamati ya pamoja ya Iran na Iraq yachunguza mauaji ya kigaidi ya Soleimani

    Kamati ya pamoja ya Iran na Iraq yachunguza mauaji ya kigaidi ya Soleimani

    Apr 03, 2021 09:43

    Mkuu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu la Vyombo vya Mahakama vya Iran amesema faili la mauaji ya kigaidi ya Shahid Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) linafuatiliwa na kamati ya pamoja ya Iran na Iraq.

  • Zarif: Trump ametupwa katika  jaa la taka za historia, jina la Soleimani litang’ara

    Zarif: Trump ametupwa katika jaa la taka za historia, jina la Soleimani litang’ara

    Jan 21, 2021 04:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amesema rais aliyeondoka Marekani wa Marekani ametupwa katika jaa la taka za historia.

  • Waziri wa Ulinzi: Maadui wameshindwa kupigisha magoti Iran

    Waziri wa Ulinzi: Maadui wameshindwa kupigisha magoti Iran

    Jan 13, 2021 04:42

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Brigedia Jenerali Amiri Hatami amesisitiza kuwa, maadui walidhani wangeipigisha magoti Iran lakini wameshindwa kabisa kutokana na Wairani kusimama kidete dhidi yao na sasa ni Rais Trump wa Markeani na waitifaki wake ndio wanaochukiwa zaidi na watu duniani na watatupwa katika dampo la taka za historia.

  • Iran yataka Polisi ya Kimataifa (Interpol) iwakamate wauaji wa mashahidi Soleimani, Fakhrizadeh

    Iran yataka Polisi ya Kimataifa (Interpol) iwakamate wauaji wa mashahidi Soleimani, Fakhrizadeh

    Jan 12, 2021 05:06

    Msemaji wa Polisi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Iran imeikabidhi Polisi ya Kimataifa, Interpol, taarifa kuhusu watu wanne waliohusika katika mauaji ya mwanasayansi wa nyuklia wa Iran shahidi Mohsen Fakhrizadeh na pia watu wengine waliohusika katika mauaji ya shahidi Qassem Soleimani."

  • Wairaq wafurahishwa na waranti wa kusakwa Trump ili akajibu mashtaka ya mauaji

    Wairaq wafurahishwa na waranti wa kusakwa Trump ili akajibu mashtaka ya mauaji

    Jan 08, 2021 07:04

    Katibu Mkuu wa "Kataib al Shuhada" ya Iraq ameipongeza idara ya mahakama ya nchi hiyo kwa kutoa waranti wa kutiwa mbaroni rais wa Marekani, Donald Trump ili akajibu mashtaka ya kuwaua kidhulma kamanda Qassem Soleimani na Abou Mahdi al Muhandis ndani ya ardhi ya Iraq.

Onesha Zaidi
Habari Kuu
  • Mwanaharakati: Mkataba wa Uvuvi kati ya Gambia na EU ni

    Mwanaharakati: Mkataba wa Uvuvi kati ya Gambia na EU ni "Mkataba Mbovu Zaidi wa Uvuvi"

    2 hours ago
  • Uchaguzi wa rais Cameroon kufanyika mwezi Oktoba

  • Wapalestina zaidi ya 17 wauawa katika mashambulizi ya Israel Gaza leo alfajiri

  • Kamanda Mkuu: Jeshi la Iran liko katika hali ya juu ya utayarifu wa kivita

  • Iran inachunguza ombi la Marekani kuhusu kuanza tena mazungumzo ya nyuklia

Chaguo La Mhariri
  • Gaza inahusiana vipi na janga la Srebrenica?

    Gaza inahusiana vipi na janga la Srebrenica?

    12 minutes ago
  • Tuhuma dhidi ya Iran zaendelea licha ya Grossi kukiri tena kwamba Iran haitengenezi silaha za nyuklia

    Tuhuma dhidi ya Iran zaendelea licha ya Grossi kukiri tena kwamba Iran haitengenezi silaha za nyuklia

    7 hours ago
  • Jibu la swali la leo; Kwa nini Ujerumani inataka kuongeza kwa kiasi kikubwa gharama zake za kijeshi?

    Jibu la swali la leo; Kwa nini Ujerumani inataka kuongeza kwa kiasi kikubwa gharama zake za kijeshi?

    1 day ago
Zilizotembelewa Zaidi
  • Kwa nini shambulizi la kuvizia la Beit Hanoun ni kipigo kikubwa kwa Israel?

  • Qalibaf: Waisraeli wasiopungua 500 waliangamizwa katika vita na Iran

  • Picha za satalaiti zamsuta Trump; Iran ilikiharibu vibaya sana kituo cha US Qatar

  • Al-Qassam yamwangamiza askari wa Kizayuni baada ya kutofanikiwa kumkamata mateka

  • Yemen yautwanga tena kombora uwanja wa ndege wa Ben Gurion, Tel Aviv

  • Kamanda: Hatutaruhusu hata shibri moja ya ardhi ya Iran itwaliwe

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tumejiweka tayari kujibu chokochoko zozote za Israel

  • Iran: Marekani lazima ifidie makosa yake kabla ya mazungumzo

  • Kauli ya Trump ya “Kiingereza kizuri” yawakasirisha Waafrika, yazua mdahalo kuhusu ukoloni mamboleo

  • Ansarullah yaionya Israel: Haiyumkiniki kufungua bandari ya Eilat

  • Rais wa Iran: Uchokozi wowote utakaorudiwa utakabiliwa na jibu kali zaidi na la kujutisha zaidi

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS