SAUTI: Mgomo wa madaktari waendelea nchini Kenya
Dec 07, 2016 15:27 UTC
Mgomo wa madaktari unaendelea nchini Kenya huku wagonjwa zaidi wakiripotiwa kupoteza maisha kutokana na ukosefu wa huduma katika hospitali za umma. Mwandishi wetu Seifullah Murtadha anaripoti kutoka Mombasa, Kenya.